Wakati unatupa madongo yasiyo na mashiko kwa Watanzania ambao hawajui leo au kesho watakula nini. Tafakari na hili kuwa dhambi kubwa inayoitafuna CCM ni uisadi ambao ndani ya CCM hakuna mwenye ubavu wa kuikemea na kuwawajibisha wahusika. mgawanyo usio sawa wa raslimali za nchi.
Juzi ilikuwa kichekesho Mzee mzima wa porini kwenye mahojiano yaliyorushwa na Star TV kuhusu kukua kwa uchumi wa Tanzania. Aliambiwa na msikirizaji mmoja kuwa hapo alipo amekuja na gari la 300m huku mama yake huko kijijini anatembea umbali wa 20km kutafuta maji ambayo hata akiyapata si salama. Na akiugua hawezi hata kupata dawa.
Jamaa alijibu kwa kejeli kuwa kwanza hilo gari si lake ni la serikali na hawezi kuacha kulitumia. Huo ndio umbumbumbu wa viongozi wetu wanafikiri wananchi wataendelea kuwa wajinga daima. Hoja haikuwa kwamba gari ni mali yake, bali ni kwa kiongozi makini kuona umuhimu wa kuwafikiria wananchi kwanza kwa kutatua matatizo yao, badala ya kujipendelea kwa kutumia vifaa vya gharama kubwa inayotokana na kodi zao ambapo ingewezekana kabisa kutumia gari ya gharama nafuu ili zipatikane pesa za kuwahudumia wananchi.
Juzi ilikuwa kichekesho Mzee mzima wa porini kwenye mahojiano yaliyorushwa na Star TV kuhusu kukua kwa uchumi wa Tanzania. Aliambiwa na msikirizaji mmoja kuwa hapo alipo amekuja na gari la 300m huku mama yake huko kijijini anatembea umbali wa 20km kutafuta maji ambayo hata akiyapata si salama. Na akiugua hawezi hata kupata dawa.
Jamaa alijibu kwa kejeli kuwa kwanza hilo gari si lake ni la serikali na hawezi kuacha kulitumia. Huo ndio umbumbumbu wa viongozi wetu wanafikiri wananchi wataendelea kuwa wajinga daima. Hoja haikuwa kwamba gari ni mali yake, bali ni kwa kiongozi makini kuona umuhimu wa kuwafikiria wananchi kwanza kwa kutatua matatizo yao, badala ya kujipendelea kwa kutumia vifaa vya gharama kubwa inayotokana na kodi zao ambapo ingewezekana kabisa kutumia gari ya gharama nafuu ili zipatikane pesa za kuwahudumia wananchi.