Mkuu Mwita Maranya , a.k.a "Murra", umechanganyikiwa.
Inaelekea toka umeingia DSM hujawahi kurudi kwenu kutambika.
Na ndio maana unashindwa kuona hata maendeleo yanayoonekana dhahiri hata kwenu.
Haijapita hata miaka kumi, na umesahau kuwa kufika Musoma mlikuwa mkipitia Sirari mkitokea Kenya.
Na hii ni kwa vile barabara zilikuwa mbovu kiasi cha kutopitika, meshaambiwa andamaneni tena sana katika barabara zilizojengwa na serikali ya CCM.
Mkuu look around you na utaona jinsi ilani ya CCM inavyotekelezwa.
Maendeleo utayaonaje na wewe ni kinara wa M4C?
Kutwa kuchwa kupanga mipango isiyoendelevu ya maandamano?
Tembelea miji ya Mwanza, Singida hata Arusha na uone jinsi unavyoweza kufika kwenu haraka kwenye ngoma za mababu huko Musoma.
Na hii si barabara tu, hata nauli ya 32,000 ya Fastjet inakushinda mkuu?
Na huduma hiyo ingekujaje kama si sera nzuri za maandalizi kuvutia wawekezaji?
Kama wewe na chama chako mkiamua kufumbia macho maendeleo ya wazi nchini, hatuna budi kuwahurumia tu, maana nyie mawazo yote yako kwenye maandamano.
Ni sehemu chache sana mlizoweza kuhumiza maendeleo, hata zile mlizo shinda katika viti vya ubunge.
,baya zaidi chama chenu kinakosa mvuto kwa kasi.Kelele na shutuma za uongozi mbaya ndani ya chama chenu hazikuasisiwa na CCM.
Ccm haikumtuma Dr Slaa kujichotea mapesa ya ruzuku kwenye hazina ya chama chenu, na sasa mnaanza kuona kuwa ni rahisi kulaumu tu na kutoa shutuma zisizo na mashiko.
Kuendesha chama noma!
Mnajifunza the harsway kuwa chama si cha waliokianzisha bali kinatakiwa kuwa chama cha wanachama.
No wonder watoto wadogo umri wa watoto wenu wanawavua nguo hadharani.
Narudia, hakuna mtu anayependa kuibiwa.
Hili la ubaguzi sitaliongelea sana maana limeshajadiliwa kwa kirefu sana hapa , kama mna masikio na msikie.
Sasa hivi upende usipende, CHADEMA is under a shadow cast of doubt.
Dr Slaa anjinafasi na fungu la chama
Mkewe anajinadi kisiasa mikoani kwa fungu la chama
Chama kinatimua wale wanohoji mwelekeo hasi
M4c yenyewe ilianza kuwa kiwanda cha mauaji
Mwenyekiti Mbowe , kimya utafikiri ana muogopa katibu wake
Mzee Mtei ndo kabisa amedozi, anaamshwa akiambiwa Zitto anataka kugombea uraid!
Mkuu hiyo limelight ya chama chenu ilishafika peak, na sasa inzidi kuporomoka kwa kasi.[/QUOTE
Msopkyindi acha kufikiri kwa kutumia makalio,hizo ngonjera unazoziongea ni kuonyesha ni jinsi gani ulivyojuha,hata kwa watoto wadogo walioanza shule leo hauwezi kuwadanganya wakakuelewa watakuona wewe ni juha tu,
Kujenga barabara sio kitu cha kujisifia ni haki ya mwananchi yeyote wa Tanzania,kumpatia maji safi,huduma bora ya afya ni haki ya mwananchi na si kitu cha kusema kwamba tumefanya ni akili mbovu,mimi kama raia wa Tanzania hauwezi kuniambia haki zangu kama Mtanzania halafu nishangilie kama ulivyo wewe mwisho utasema ni ccm ndio wanafanya unaishi,au wewe ni sawa na mzazi anaenunua mboga kama nyma halafu anaenda kutamba barabarani kwamba nimenunua mboga kwangu wakati ni haki yako kununua mboga kwako,Tanzania tunayo maliasili nyingi lakini inawafaidisha mafisadi wachache na wapiga debe wasiona kitu kama wewe,maisha yanapanda kila siku,vitu vinapanda bei kila leo,deni la nchi linaongezeka kila kukicha halafu mnapiga kelele na
Historia itawahukumu nyie wachumia tumbo msokuwa na huruma kwa wanyonge eti mnajisifia kutengenezwa barabara ni akili hiyo au mna mtindio wa ubongo nyie? Hakuna mTANZANIA hata mmoja mtakaemdanganya kwa huo uongo wenu sasa hivi kila Mtanzania anajua ukweli kazi kwenu wachumia tumbo
Last edited by a moderator: