Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
QUOTE=masopakyindi;5504710]Umebugi meen!
Nimeweka source kwenye habari pamoja na page number kwa ajili ya mnaosoma vichwa tu bila kusoma habari yenyewe.[/QUOTE]
Hivi, nyie Mitakataka ya CCM, Chadema ikifa nyie mnaumia kitu gani? Tangu lini CDM wamekuja kwenu kuwaomba ushauri ili muwasaidie waisife kama si Unafiki na Uzandiki uliopindukia! Kila siku mnaomba CDM ife ili muweze kuendelea kuitafuna nchi bila kupigiwa kelele na vyama vyenu mlivyoviweka mfukoni. Acheni Ujinga hapa. Nape nitakuamini mara tu utakapokuwa halisia na kuacha kupaka mkorogo.
Nimeweka source kwenye habari pamoja na page number kwa ajili ya mnaosoma vichwa tu bila kusoma habari yenyewe.[/QUOTE]
Hivi, nyie Mitakataka ya CCM, Chadema ikifa nyie mnaumia kitu gani? Tangu lini CDM wamekuja kwenu kuwaomba ushauri ili muwasaidie waisife kama si Unafiki na Uzandiki uliopindukia! Kila siku mnaomba CDM ife ili muweze kuendelea kuitafuna nchi bila kupigiwa kelele na vyama vyenu mlivyoviweka mfukoni. Acheni Ujinga hapa. Nape nitakuamini mara tu utakapokuwa halisia na kuacha kupaka mkorogo.