Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Yeah, nimemwona eti anasema hata kama wanaccm wote watahama na kubaki peke yake eti ccm haitakufa,,,
WANATAPATAPA, UKWELI WANAUJUA KWAMBA KIAMA CHAO NI 2015,,,,,
Nimemwangalia Itv,mbona jukwaa alilotumia lilipambwa kwa rangi za Cdm? Hii imekaaje wakuu? Hebu mwenye picha zile aziweke hapa tuzifarague.