Nape azindua mpya ya CCM "Vua gamba vaa uzalendo"

Nape azindua mpya ya CCM "Vua gamba vaa uzalendo"

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,290
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!
 
Yeah, nimemwona eti anasema hata kama wanaccm wote watahama na kubaki peke yake eti ccm haitakufa,,,

WANATAPATAPA, UKWELI WANAUJUA KWAMBA KIAMA CHAO NI 2015,,,,,
 
hapo anatumia fumbo kuipigia chapuo chadema kwa sababu huwezi kuitenganisha chadema na uzalendo.
big up NAPE vua gamba vaa ....................
tunakusubiri na wewe uvue.
 
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!


huwezi kuwa mzalendo bila kuvaa gwanda.

anapoteza muda na tabia yake ya kopi pesti
 
Cut & Paste - as always! CCM hakuna kitu tena kichwani zaidi ya kuigiliza!
 
Nimecheka sana! Halafu habari za michezo akaonekana anacheza gofu.
mohamedi, nimeshindwa kuelewa ni kitu gani hasa kimempeleka Nape Missenyi? Kwenye michuzi anaonekana akiongea na wanahabari huku kukiwa na jeneza la mpigania uhuru karibu. Then picha nyingine anaonekana anacheza golf! What is he doing in Missenyi? Msiba au Golf?

Na kuhusu msiba, kweli CCM au niseme serikali ya CCM imeshindwa kumpeleka mkubwa mmoja kwenye haya maziko ya mpigania uhuru? Kumpeleka Nape ni madharau makubwa kwa marehemu mzee wetu afadhali mara mia wasingepeleka mtu.
 
Last edited by a moderator:
maali ishatolewa
Maali ishatolewa

CCM wameolewa
CCM wameolewa...
 
Nape Nnauye Juhudi za kupunguza nguvu ya CCM kwa kuokoteleza wanachama wa CCM waliofulia zilianza miaka 20 iliyopita (1992-20121)!! Mpaka leo hazijazaa matunda! Ongezeni bidii, atafutaye hachoki! Lakini pengine badilisheni style. Mtu hatishwi na kinyago alichochonga mwenyewe!!
 
Utawajua tu, watacheza ngoma ya CHADEMA mpaka watapoondoka magogoni.
 
Back
Top Bottom