Nape namwona ITV akitoa shule,
1. Swala la mafisadi halikuanza jana kupigwa vita, limeanza siku nyingi akatoa mfano wa Vita ya wahujumu uchumi wakati wa Azimio la Arusha.
2.bunge la mfumo wa vama vingi limekuwa la ki vyama zaidi kuliko kuwa la kutetea wananchi kama ambavyo imekuwa wakati wa chama kimoja.
3. Vyama vimeshindwa kujitofautisha kiitikadi wala kisera
1. Swala la mafisadi halikuanza jana kupigwa vita, limeanza siku nyingi akatoa mfano wa Vita ya wahujumu uchumi wakati wa Azimio la Arusha.
2.bunge la mfumo wa vama vingi limekuwa la ki vyama zaidi kuliko kuwa la kutetea wananchi kama ambavyo imekuwa wakati wa chama kimoja.
3. Vyama vimeshindwa kujitofautisha kiitikadi wala kisera