Nape atoa shule malumbano ya hoja ITV

Nape atoa shule malumbano ya hoja ITV

Jamani huyo jamaa ni Gamba gumu,ila muda si mrefu atalainika.Kama anabisha muulize Msabaha,Karamagi na Kingunge.
 
Blabla za kisiasa ni zile zinazofanywa na wabunge wa cdm bungeni, wanapiga kelele weeeh, huku wakijua kelele zao sawa na machozi ya samaki yanayoishia kusombwa na maji!
Wa ccm je? wao wanayoongea yanakubaliwa?
 
Nape namwona ITV akitoa shule,
1. Swala la mafisadi halikuanza jana kupigwa vita, limeanza siku nyingi akatoa mfano wa Vita ya wahujumu uchumi wakati wa Azimio la Arusha.
2.bunge la mfumo wa vama vingi limekuwa la ki vyama zaidi kuliko kuwa la kutetea wananchi kama ambavyo imekuwa wakati wa chama kimoja.
3. Vyama vimeshindwa kujitofautisha kiitikadi wala kisera

Mh, umeshasajiri ID nyingine tena? Tabu yote ya nini?...
 
Back
Top Bottom