Magwanda inaonesha mlikuwa mnafatilia kwa makini sana besidei ya CCM Mwanza. Kweli nimeamini CCM ndio namba wani. Kila details za besidei leo tunaipata kutoka kwa magwanda, raha sana. Kumbe walisilimishwa 1,800? na bado.
Sasa tunashauri kitengo cha propaganda kifanye besdei kila wiki na si kila mwaka.
CCM juu, juu, juu zaidi
...katika maadhimisho ya miaka 35 ya ccm huko mwanza Nape amesema wanachama 1847 wamejiunga na ccm baada ya kukimbia kwa baba yao wa kambo...Nape hajasema baba yao huyo wa kambo ni nani ila mipango yao ya kutengeneza kadi feki kibao za chadema na kugawa kwa hawa watu ili wadai kuzirudisha ilishajulikana...alichokifanya nape ni kutimiza umafia wa kuhadaa wananchi na kukihujumu chadema...kweli ccm ni chama pinzani mwanza leo nimejiridhisha..
ccm leo imefunika vibaya mwanza, ni ndremo na vifijo huku mtaani
kumbe mnajindaa kulipiza kisasi na kumwaga damu mkishika dola.
CCM ni chama kina wanachama wengi na bado kinapendwa, hawawezi kuwa na udanganyifu wa ku print kadi za CHADEMA ili ionekane watu wamezirejesha na kujiunga na CCM.
Kwa hoja hii woooooote mmbebweka kuna chama kinakuja kitakachobeba utawala 2015 kama muujiza. achananeni na C C oooohh CCJ,CCM,CUF.CDM na wengine wengi wasotambulika hata kwa 5% ya watanzania lakini wanajidai wamo kwa kelele na ripoti za watafiti feki wa mezani na majibui ya D A I M!! Mmm vipi? Tafiti za kweli zisiszojali Posho na Mirage zimefanyika !!???! Mi ni Mpumbavu Kweli ila si MJINGA!
Nape mjanja sana anatumia style zile zile za makamba!!ubwabwa sana na leta malori toka vijijini wape 10,000 kila mtu cheza ngoma kama vile furahisha meza kuu,......ikija uchaguzi wale wote huwaoni!!
ccm leo imefunika vibaya mwanza, ni ndremo na vifijo huku mtaani
Watu wamefata burudan ya bure toka kwa sumalee, ndo mana waliondoka sumalee alipomaliza wakabak walioletwa na malori
Mwakani hamishieni sherehe za miaka 36 pale Mbeya Mjini. naona mnajaribu kubomoa ngome za CHADEMA.
Nape mjanja sana anatumia style zile zile za makamba!!ubwabwa sana na leta malori toka vijijini wape 10,000 kila mtu cheza ngoma kama vile furahisha meza kuu,......ikija uchaguzi wale wote huwaoni!!
...katika maadhimisho ya miaka 35 ya ccm huko mwanza Nape amesema wanachama 1847 wamejiunga na ccm baada ya kukimbia kwa baba yao wa kambo...
Hizo ndizo mbinu za medani katika siasa, nani anataka kupoteza kibarua chake kwa kuzembea cha chama chake kudodora? Unaweza kuta wote waliochukua kadi sio wapya, bali walikuwa na kadi tangu mwaka 2005, sasa zimekusanywa na kupewa upya. Walichofaidi ni kushikwa mkono na Mkuu wa nchi.
Magwanda inaonesha mlikuwa mnafatilia kwa makini sana besidei ya CCM Mwanza. Kweli nimeamini CCM ndio namba wani. Kila details za besidei leo tunaipata kutoka kwa magwanda, raha sana. Kumbe walisilimishwa 1,800? na bado.
Sasa tunashauri kitengo cha propaganda kifanye besdei kila wiki na si kila mwaka
CCM juu, juu, juu zaidi