Mwakiluma
Senior Member
- Jan 23, 2012
- 120
- 47
- Thread starter
- #61
...huwezi kutatua matatizo kwa kutumia njia zilezile ulizozitumia wakati wa kuyapata hayo matatizo...njia tulizotumia kuyapata matatizo ya nchi hii ni ya kuwapigia kura ccm kwa miaka takribani 30 sasa...wanachi wa mwanza na sehemu nyingine yoyote ile Tanzania hapa wanakubaliana na mimi hivyo nape ajue kuwa ccm hatuna ushirika nayo kamwe sisi watanzania