Nape asema Edward Siyo msafi

Nape asema Edward Siyo msafi

Naamini kipo ambacho Ngd.Nape anakiamini na pengine kukisimamia,lakini nafasi ya kazi yake haimpi yeye kutoa mawazo yake binafsi kwa kuwa analotakiwa kulitolea maamuzi ni hasa maamuzi ya vikao.
naamini kuna siku tutamwelewa vinginevyo.
 
Hii inadhihirisha kuwa nape anamuhofia sana lowasa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
nape naona unamchokoza tena white hair. hukumbuki kipindi kile?
 
Eddo akichukua nchi ufisadi wa kiwete, nepi, member, riz moko na wengine wote utakuwa wazi
 
Ndugu watanzania leo twashuhudia, yaliyoandikwa na mwenyezimungu, mwenyezimunguuuu, baba wa taifa na kipenzi cha watu sasa ametutoka............. nashindwa kumalizia wimbo machozi yamefunika uso.
 
Hata kama CCM ina wazee lakini ni vema Kijana Nape Moses Nnauye anasimamia anachokiamini. Piga ua huo ndiyo msimamo wake. Napenda hiyo. Siyo watu wanafiki kwa ajilli ya cheoau njaa. Big Up.
 
Kutokana na hizo post chache tuu nilizosoma najenga nadharia ya CDM na lowassa CCM na Zito kabwe.

Great thinker,lakini kuna mawili aidha uko sawa au kuna watu wamenunuliwa humu jf...binadamu hujifunza kila leo, Nape amejifunza kutoka vijana wa cdm E. Wasira nk..cdm tumuunge mkono, ni vizuri ccm iingie 2015 na mpasuko.
 
Hapa inaonyesha Nape naye ameshaingia kwenye siasa za makundi kwani kama ni kujaza wapambe CC na NEC karibu kila anayetajwa kuutaka urais thru CCM anafanya hivyo tena kwa njia zilezile anazotuhumiwa nazo Lowassa, sema Lowassa ndie alieweza kupata wafuasi wengi zaidi hadi sasa,kwa hiyo tatizo hapa ni mfumo na sio mtu kama CCM watabariki mawazo ya Nape bac matokeo yake ni kumega chama na si kukijenga.
 
Akiongea na MakutanoShow sasa hivi ameongelea kuhusu mgombea urais kupitia CCM baada ya kuulizwa kuhusu tuhuma za rushwa zinazohusishwa na mbio za urais.

Amesema hata kama mtu akijaza wapambe wake CC na NEC siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa urahisi.

Alitoa mfano mara tatu kuhusu Lowassa kwamba siyo msafi na hata Nyerere alisema hivyo. Alisema kwamba siyo lazima kuwepo ushahidi bali kama watu wanaongea tu na kukuhisi inatosha kuthibitisha kwamba wewe siyo msafi.
Mwache kijana endelee kupuliza vuvuzela!, kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM mwezi November, mtamshuhudia akionja joto ya jiwe!. Hapa jf atapaona kama kituo cha polisi!.
P.
 
Kutokana na hizo post chache tuu nilizosoma najenga nadharia ya CDM na lowassa CCM na Zito kabwe.

Great thinker,lakini kuna mawili aidha uko sawa au kuna watu wamenunuliwa humu jf...binadamu hujifunza kila leo, Nape amejifunza kutoka vijana wa cdm E. Wasira nk..cdm tumuunge mkono, ni vizuri ccm iingie 2015 na mpasuko.
 
Akiongea na MakutanoShow sasa hivi ameongelea kuhusu mgombea urais kupitia CCM baada ya kuulizwa kuhusu tuhuma za rushwa zinazohusishwa na mbio za urais.

Amesema hata kama mtu akijaza wapambe wake CC na NEC siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa urahisi.

Alitoa mfano mara tatu kuhusu Lowassa kwamba siyo msafi na hata Nyerere alisema hivyo. Alisema kwamba siyo lazima kuwepo ushahidi bali kama watu wanaongea tu na kukuhisi inatosha kuthibitisha kwamba wewe siyo msafi.

nimesikiliza pia makutano, haikua as straight as this, Yes katoa mfano wa lowasa mwaka 2005 lakini not explicitly saying EL si msafi, lazima itakuwa youtube by now, hebu sikikilizeni wenyewe!
 
Hata kama CCM ina wazee lakini ni vema Kijana Nape Moses Nnauye anasimamia anachokiamini. Piga ua huo ndiyo msimamo wake. Napenda hiyo. Siyo watu wanafiki kwa ajilli ya cheoau njaa. Big Up.
Mkuu asungwilemwaifunga, nimependa jinsi ulivyolitaja jina la kijana kwa kirefu, tunashukuru sana kwa matumizi ya DNA kuchelewa kufika humu nchini kwetu, uchelewaji huo umesaidia wengi!. NB. Naombeni msiniulize kitu chochote kuhusu posti yangu hii!, I'm just thinking loud!.
 
Mkuu, Pasco, sijakuelewa. Kutaja jina kwa kirefu, matumizi ya DNA! Uhusiano ukoje hapo mkuu? Au kuna ukungu, fafanua tafadhali.
 
Itakuwa JK kamdanganya Nape kuwa chaguo lake ni MEMBE na kuwa atahakikisha vyombo vya usalama vinatoa taarifa ya kumchafua Edward Lowassa wakati wa mchujo wa CC ili kwa kigezo hcho Eddo aondolewe na kumpitisha kibaraka Membe.

Lakini jambo ambalo Nape na JK wanasahau ni kuhusu ripoti hiyo hiyo mnamo mwaka 2005 ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TISS ndugu Apson alileta taarifa ya usafi wa kimaadili na JK kuwekwa nafasi ya sita kutokana na tabia zake ambazo usalama uliziona, hata hivyo wajumbe wa CC walizingatia vigezo vingine vya siasa na ushindani na kumpitisha JK apambane na mwandosya na salim na hatimaye akashinda.

Nape awe makini sana anatumika kama galasa kwa JK na Membe, NEC inayochaguliwa na CCM hawana uwezo wa kumpitisha mnafiki MEMBE, nape bado ni kijana asipoangalia hatua zake atajikwaa mapema sana na kwake na Riz 1 , 2015 itakuwa ni giza kubwa sana kwao.

Nilishawah kulieleza hili lakini kuna watu walipinga..
 
Nape hajui kazi yake
Fitina mwiko, acha basi fitina, so far, he is the best that CCM has ever had, ukimlinganisha na wengine wote waliowahi kushika position hiyo!, tatizo lake ni dogo tuu, "he talks too much!, sometimes senseless sometimes nonsense but he just talk!.
P.
 
Pamoja na uchafu EL anaousema wa Nape, mbona NEC na CC vilipitisha jina lake akapigiwe kura huko Monduli? Nape action speaks louder than words.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom