MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Katika Kampeni za uchaguzi wa Diwani Kata ya Kimandolu hapa Arusha NapeMnauye amesema hakuna "HAKUNA JINSI NI LAZIMA MGOMBEA WA CCM ATANGAZWE MSHINDI'.
Hii ni katika hotuba aliyomaliza dakika 10 zilizopita hapa CORNER BAR Kijenge juu kata ya Kimandolu. Nape amesema ikiwa kutatokea fujo akikamatwa mtu na green guard atashughulikiwa kwanza kwa masaa 3 kabla ya kumkabidhi Polisi kwa sababu wanaona Polisi hawawezi kuwashughulikia ipasavyo.
Hofu imetanda kwani ni mara mbili CCM wamesema Edna lazima atangazwe mshindi na vijana wa CCM watalinda kura hadi mwisho. Ajabu ni kwamba WEZI NAO WANAIGIZA KULINDA VITU VYAO HATA KAMA HAKUNA MWIZI. Kama CCM watalazimisha ushindi watakuwa wamefanya jaribio baya ambalo matokeo yake yatakuwa na athari mbaya ambazo zitaepukika kama kila mtu atakubali kura ziamue mshindi. Baadaye nitawarushia picha na video za Nape akijikaanga.
Hii ni katika hotuba aliyomaliza dakika 10 zilizopita hapa CORNER BAR Kijenge juu kata ya Kimandolu. Nape amesema ikiwa kutatokea fujo akikamatwa mtu na green guard atashughulikiwa kwanza kwa masaa 3 kabla ya kumkabidhi Polisi kwa sababu wanaona Polisi hawawezi kuwashughulikia ipasavyo.
Hofu imetanda kwani ni mara mbili CCM wamesema Edna lazima atangazwe mshindi na vijana wa CCM watalinda kura hadi mwisho. Ajabu ni kwamba WEZI NAO WANAIGIZA KULINDA VITU VYAO HATA KAMA HAKUNA MWIZI. Kama CCM watalazimisha ushindi watakuwa wamefanya jaribio baya ambalo matokeo yake yatakuwa na athari mbaya ambazo zitaepukika kama kila mtu atakubali kura ziamue mshindi. Baadaye nitawarushia picha na video za Nape akijikaanga.