TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Nape azawadiwa mizomeo Serengeti-alikuja kujibu mashambulizi baada ya kamanda mimi na mwenyekti wa cdm taifa na wabunge 5 wa chadema kuangusha mvua ya elimu kwa wapiga kura wetu, Nape alianza kutoa kejeli kwa wapinzani na kukomelea misumari ya kashifa ambayo ilimgeukia na kumchoma mwenyewe, jamaa alimponda marehemu diwani na kusema watu wa kata husika hawakupata maendeleo kwa kuwa walimchagua kibaka ( diwani ambae ni marehemu) watu waliposikia hivyo walianza kutukana na kuzomea huku wakiondoka..., kama anabisha huyo nepi aseme, anasema hata kitambi alichonacho yeye ni zao la udc aliofanya takribani miezi 7, hivi kweli kwa mwanasiasa mwelewa na mwenye akili unjisifu kwa maradhi tena kwa kodi za wananchi ambao wanakula mlo mmoja kwa siku
Shame on you nape, anyway tumsamehe unajua hajapata malezi ya pande zote mbili baba na mama, maana yeye ni mtoto wa nje ya ndoa hivyo ana inferior complex, kwa hiyo kupata kitambi kaona kamaliza kila kitu
nawasilisha
Shame on you nape, anyway tumsamehe unajua hajapata malezi ya pande zote mbili baba na mama, maana yeye ni mtoto wa nje ya ndoa hivyo ana inferior complex, kwa hiyo kupata kitambi kaona kamaliza kila kitu
nawasilisha