Nape apata aibu Serengeti

Nape apata aibu Serengeti

Nakuona hapo chini umebadili ID tayari, hahaha ahahaha ahahah!!!!!!!!!!
 
Hii habari imepostiwa saa 6 usiku kwa saa za bongo. Ulikuwa wapi kupost tangu muda wa tukio? Au mkutano ulivunjika usiku? Hii source siiamini kabisa
Wewe unaishi Tanzania?Kamaungelikua unaishi Tanzania unapaswa kuelewa mosi tatizo la umeme pili tatizo la mtandao.Hivyo umtendei haki mtumaji wa post hiyo.
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....

Nnauye we muoga! Ebu niambie kwa nini nilipokupasha kule FB umeniblock? Mwaka huu wako! Narudia kukuambia jivue uanachama wa CCM uwe huru otherwise ile tahadhari uliopewa inaweza kuwa kweli. Tuje ktk mada: unajickiaje kila unapoenda hupendwi? Unazomewa? Na km kweli mbowe jana alizomewa km wewe kwa ulivyo na akili za kitoto mbona haukubandika hapa mpaka usemwe ndo umtumie Mbowe km ngao? I pity u ooh...!
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Usitumie muda mwingi kujibizana a na hawa CDM huku, always wanajaribu kupindisha ukweli.
CCM still tuna nguvu na tutaendelea kuwa na nguvu.
 
Naona baada ya kushtukiwa na ID nyingine umenyuti na kukimbia, ghafla na kuona na ID nyingine tena, mkuu Vp? haya masuala ya teknolojia inaonyesha yanawasumbua kiaina. In just less than 10 mins naona unatumia ID 3 hahaha ahahah!!!!!!!!
 
Usitumie muda mwingi kujibizana a na hawa CDM huku, always wanajaribu kupindisha ukweli.
CCM still tuna nguvu na tutaendelea kuwa na nguvu.

Haaahaha ahahaha ahahaha ahahaha ahahaha ahahaha!!!!!!!!!!!!!! Lao inanibidi nicheke mpaka basi!!!!!! tehe tehe tehe! Kweli Tanzania viongozi mnao!!!!
 
Kumzomea haitoshi! Wangemlamba na mayai viza kidogo wamkumbushe kuwa magamba yananuka wayavue kikweli sio kwa maneno tu!
 
Nape una bahati mbaya sana, maana unakwisha ukiwa ungali kijana mdogo. Hayo ndiyo madhara ya kung'ang'ania mavyama yaliyozeeka kama ccm.
 
Safari hii kuna kazi kweli kweli , Nape anadhani watu wanjifariji JF sijui ili iweje? Kuna mengi ya kufanya kuliko kujifariji kinakodaiwa na Nape humu JF, cha msingi yeye akubaliane na hali halisi kuwa watu wanahitaji mabadiliko!
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
kuuliza sio ujinga.hivi wewe ni mtoto wa mzee wetu Mosses Nnauye?mbona akili zako tofaut na nilivyomfahamu marehem,
 
katibu wa itikadi na uenezi wa ccm bwana nape nnauye leo amepata aibu ya kuzomewa vibaya hapa serengeti alipokuja kumnadi mgombea wa udiwani wa ccm,mkasa ulianza pale alipoanza kusema kwamba chadema ni chama cha wahuni amezomewa vibaya mpaka mkutano ukavunjika.

ndo dawa yake.

Njia pekee ya kufanya uhuni wake ni kupitia media, akifanya uhuni huo mbele ya public wenye uelewa watamgomea tu
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....

nnauye,
wewe bado kijana tena ulikua na mawazo mazuri ulipokua India. sasa hivi huna mvuto tena coz ww ni kikwazo kwa maendeleo ya Taifa! Gamba lako ni zaidi ya la mamba..acha kuhubiri porojo zako.
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....

Nape unaendelea kujikweza bure, huna mvuto kijana wala huna uwezo wa kuvuta wananchi kuliko Mbowe.

Mimi huko ndio nyumbani na ninapata taarifa za kampeni kila siku. Pamoja na kujitahidi kusomba watu toka maeneo mbalimbali lakini bado hamkuweza kufikia mkutano wa chadema.

Kitu ambacho nafahamu ni kwamba reaction ya wananchi baada ya kuambiwa ''ukweli'' ilikuwa ni kukuzomea sana na kuimba people's power hadi mkutano ukavunjika. Waziri mkuu anazomewa akiongea mambo ya uongo sembuse nape.

Na taarifa zipo kwamba mnapanga kuchakachua lakini ujue kwamba nafasi hiyo hamtaipata tena chadema iko makini sana this time.
 
Safari hii kuna kazi kweli kweli , Nape anadhani watu wanjifariji JF sijui ili iweje? Kuna mengi ya kufanya kuliko kujifariji kinakodaiwa na Nape humu JF, cha msingi yeye akubaliane na hali halisi kuwa watu wanahitaji mabadiliko!

kazi yake kufikiri jf wote ni CDM bila kuzingatia ushauri. Debe tupu la ccm wengine hatulishwi na siasa tunajituma..
 
ndo dawa yake.

Njia pekee ya kufanya uhuni wake ni kupitia media, akifanya uhuni huo mbele ya public wenye uelewa watamgomea tu
Nape toka lini akawa muhuni?
au unamfananisha Nape na wahuni wa CDM?
 
Safari hii kuna kazi kweli kweli , Nape anadhani watu wanjifariji JF sijui ili iweje? Kuna mengi ya kufanya kuliko kujifariji kinakodaiwa na Nape humu JF, cha msingi yeye akubaliane na hali halisi kuwa watu wanahitaji mabadiliko!

Kwa hili la mugumu yeye ndiye kaja JF kujifariji lakini ukweli ni kwamba mkutano aliofanya ulihudhuriwa na watu wengi kiasi kutokana na jana kuwa siku ya gulio mugumu mjini pamoja na wao ccm kusomba watu kama kawaida yao.

Huo wingi ndio anajifariji nao lakini kimbembe kilichomkuta ni pale alipoanza kuichana chadema, raia wakageuka mbogo na kuanza kumzomea sana huku wakiimba people's power na kumnyooshea vidole vya alama ya chadema hadi mkutano ukavunjika.
 
Igunga hakuwezi aende kufanya nini? Na siku akitia mguu Igunga tu, ccm hailambi hata 5% ya kura.
 
wakurya wana hasira na kuuwawa kwa diwani wao kipenzi wa cdm mh. Ryoba. Nani aliyemuua? Wapiga kura wa serengeti wanajua na wataonyesha hasira zao kwa sanduku la kura 2/10.
 
Back
Top Bottom