So ukimkuta mtu kavaa nguo ya njano utasema huyu anaipenda yanga?
Kila avaaye kombati ni chadema?kila avaaye kijani ni CCM?kila avaaye njano ni yanga?
Nilikuwa mbali na TV.lakini kelele za shangwe za watoto zilinistua ndipo nilipomuona ndani ya vazi linalovuta hisia za watu na mvuto wa pekee.nichosema imemngarisha.Nape tunajua upo mguu moja ndani mwingine nje endeleza fikira za kututambulisha.Ubishi wa nini wewe? kombati ni vazi rasmi la chadema, kwa kuwa wako kwenye mapambano dhidi ya ccm kwa ajili ya kuwakomboa watanzania kifkra, mtizamo, kiuchumi n.k.