Nape amdhulumu mshindi wa Maisha Plus 2013

Nape amdhulumu mshindi wa Maisha Plus 2013

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,554
Reaction score
2,158
Hii nimeipata kutoka kwenye fainali za Maisha plus kuwa Nape ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi msimu uliopita alitoa ahadi kwa Mshindi,ambayo mpaka leo anampiga chenga kumpa zawadi hiyo
. Kweli ahadi za Viongozi wa CCM hazitekelezeki.

Maelezo zaidi...

KWENYE FAINALI ZA MAISHA PLUS leo Tar 18/05/2014...
MASOUD KIPANYA alimuuliza "ile zawadi" uliyoahidiwa na mgeni rasmi wa mwaka jana ulishapewa! Dada aliomba kupitia TBC kuwa "Mh.Nape ile zawadi uliyoniahidi mbona hujaitekeleza! Nimesumbuka sana ofisini kwako nakuta gari lako ila wasaidizi wako wananiambia haupo" Tehe tehe teheeeee!!!

Nnape Nnauye; Ritz; Faiza Foxy.

=======
UPDATE:
Kwa mujibu wa Nape, yeye hakuwepo kwny fainali za Maisha Plus
 
Hiyo zawadi ni ipi na kamdhulumu vipi? Mbona hii habari imekaa kigongo-gongo na si kitusker-tusker.
 
Duh!. Hata mimi nimeiona kwenye TBC1. Dada anasema kila akienda ofisini anaambiwa Mh hayupo.
Kwa anayetaka maelezo zaidi amuuluze Masoud Kipanya maana ndio alirise hiyo issue
 
jamani mwambieni akampe dada wa watu zawadi yake dada analalamika akimfata ofisini anakuta gari ila wapambe wanamwambia hayupo dada analilia zawadi yake
 
Nape badae atampigia simu wakutane Guest, kwani CCM wana dogo hawa?
Dada akikubali atapewa zaidi ya hiyo zawadi, na akishaliwa na kuwa mwanaccm bac ataukwaa na U-DC kabisa.
 
FF and others wakati Dada huyo mshindi alipokuwa anawapatia ushindi, MASOUD KIPANYA alimuuliza "ile zawadi" uliyohaidiwa na mgeni rasmi wa mwaka jana ulishapewa! Dada aliomba kupitia TBC kuwa "Mh.Nape ile zawadi uliyoniahidi mbona hujaitekeleza! Nimesumbuka sana ofisini kwako nakuta gari lako ila wasaidizi wako wananiambia haupo"
 
Back
Top Bottom