samaki2011
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 1,775
- 469
Hiyo zawadi ni ipi na kamdhulumu vipi? Mbona hii habari imekaa kigongo-gongo na si ki tusker tusker.
hivi dada umeolewa, samahani lakn naomba usilidharau swali langu
Hiyo zawadi ni ipi na kamdhulumu vipi? Mbona hii habari imekaa kigongo-gongo na si ki tusker tusker.
Habari yenyewe imekaa kama kaandika mwanao haina kichwa wala miguu inamapungufu makubwa sana kwa maana ya kutokamilika hebu twambie ilikuwa zawadi gani,ilikuwa lini,wapi,nani kadhulumiwa na kwa malengo gani,je upande wa pili nape umemuuliza kasemaje.Hii nimeipata kutoka kwenye fainali za Maisha plus kuwa Nape ambaye aliyekuwa mgeni rasmi msimu uliopita alitoa ahadi kwa Mshindi,ambayo mpaka leo anampiga chenga kumpa zawadi hiyo. Kweli ahadi za Viongozi wa CCM hazitekelezeki.
Unatafuta mtu wa kukuoa mpaka uulize maswali hayo?hivi dada umeolewa, samahani lakn naomba usilidharau swali langu
Unatafuta mtu wa kukuoa mpaka uulize maswali hayo?
Hii nimeipata kutoka kwenye fainali za Maisha plus kuwa Nape ambaye aliyekuwa mgeni rasmi msimu uliopita alitoa ahadi kwa Mshindi,ambayo mpaka leo anampiga chenga kumpa zawadi hiyo. Kweli ahadi za Viongozi wa CCM hazitekelezeki.
Zawadi gani hiyo?
Alidhulumiwa nini? Lini? kuna ushahidi? Maana nyie wana siku hizi mmezidi uzushi ni vigumu sana kuaminiwa!
Zawadi gani hiyo?
Habari yenyewe imekaa kama kaandika mwanao NIMEANDIKA MIMI BAADA YA KUSHIKWA NA BUTWAA.
haina kichwa wala miguu inamapungufu makubwa sana kwa maana ya kutokamilika HAINA KICHWA NA MIGUU KWA KUSHIKWA NA BUTWAA.
hebu twambie ilikuwa zawadi gani MASOUD KIPANYA HAIKUITAJA ,
ilikuwa lini MWAKA JANA MWISHONI MWA MAISHA PLUS NNAPE ALIKUWA MGENI RASMI,
wapi MAISHA PLUS VILLAGE KIGAMBONI ,
nani kadhulumiwa MSHINDI WA KWANZA
na kwa malengo gani ANAYOYAJUA NNAPE MWENYEWE,
je upande wa pili nape umemuuliza kasemaje YUPO BUSY NA YULE KATIBU MWENYE USO MPANA NA RANGI YA NJANO ANAYE VUNA NYARA AMBAZO JINA LAKE LINAFANANA NA LA KWANGU LA KWANZA.