Nape amdhulumu mshindi wa Maisha Plus 2013

Nape amdhulumu mshindi wa Maisha Plus 2013

Hii nimeipata kutoka kwenye fainali za Maisha plus kuwa Nape ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi msimu uliopita alitoa ahadi kwa Mshindi,ambayo mpaka leo anampiga chenga kumpa zawadi hiyo
. Kweli ahadi za Viongozi wa CCM hazitekelezeki.

Maelezo zaidi...

KWENYE FAINALI ZA MAISHA PLUS leo Tar 18/05/2014...
MASOUD KIPANYA alimuuliza "ile zawadi" uliyoahidiwa na mgeni rasmi wa mwaka jana ulishapewa! Dada aliomba kupitia TBC kuwa "Mh.Nape ile zawadi uliyoniahidi mbona hujaitekeleza! Nimesumbuka sana ofisini kwako nakuta gari lako ila wasaidizi wako wananiambia haupo" Tehe tehe teheeeee!!!

Nnape Nnauye; Ritz; Faiza Foxy.
Hivi ni 'kamdhulumu' ama 'hajatekeleza ahadi yake'?......

Binafsi nimemsikia huyo binti sijamsikia akizungumza suala la kudhulumiwa, bali kakumbushia ahadi aliyopewa na Nape....Na sina uhakika kama ukomo wa kutoa hiyo zawadi ulikuwepo ama la....

Siasa zisitupumbaze tukakosa hata ufahamu wa kutofautisha maana ya kudhulumu na kutotekeleza ahadi kwa wakati....
 
Hivi ni 'kamdhulumu' ama 'hajatekeleza ahadi yake'?......

Binafsi nimemsikia huyo binti sijamsikia akizungumza suala la kudhulumiwa, bali kakumbushia ahadi aliyopewa na Nape....Na sina uhakika kama ukomo wa kutoa hiyo zawadi ulikuwepo ama la....

Siasa zisitupumbaze tukakosa hata ufahamu wa kutofautisha maana ya kudhulumu na kutotekeleza ahadi kwa wakati....

Kaka alimdhulumu/Hajatimiza AHADI yote sawa amemzungusha saaaana. Haiwezekani kila akienda Lumumba anazungushwa mno.
 
Hii nimeipata kutoka kwenye fainali za Maisha plus kuwa Nape ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi msimu uliopita alitoa ahadi kwa Mshindi,ambayo mpaka leo anampiga chenga kumpa zawadi hiyo
. Kweli ahadi za Viongozi wa CCM hazitekelezeki.

Maelezo zaidi...

KWENYE FAINALI ZA MAISHA PLUS leo Tar 18/05/2014...
MASOUD KIPANYA alimuuliza "ile zawadi" uliyoahidiwa na mgeni rasmi wa mwaka jana ulishapewa! Dada aliomba kupitia TBC kuwa "Mh.Nape ile zawadi uliyoniahidi mbona hujaitekeleza! Nimesumbuka sana ofisini kwako nakuta gari lako ila wasaidizi wako wananiambia haupo" Tehe tehe teheeeee!!!

Nnape Nnauye; Ritz; Faiza Foxy.

=======
UPDATE:
Kwa mujibu wa Nape, yeye hakuwepo kwny fainali za Maisha Plus
Wewe kauzu kweli unajua maana ya kudhulumu hivi Lema alivyotoa ahadi atajenga Machinga Complex mbili na Hospital ya kina mama amewadhulumu wapiga kura wake?
 
Kaka alimdhulumu/Hajatimiza AHADI yote sawa amemzungusha saaaana. Haiwezekani kila akienda Lumumba anazungushwa mno.
Kwani 'kudhulumu' maana yake nini Chifu?.....Hebu tuwekane sawa hapo....

Pamoja na uelewa wangu mdogo wa lugha adhimu ya Kiswahili sidhani kama kudhulumu na kutotekeleza ahadi (kwa wakati) kuna maana moja.........Labda kama utaweka 'mahaba' ya Kisiasa mbele...

Btw, ni ahadi gani ambayo binti aliahidiwa na Nape??

Bala.
 
Wewe kauzu kweli unajua maana ya kudhulumu hivi Lema alivyotoa ahadi atajenga Machinga Complex mbili na Hospital ya kina mama amewadhulumu wapiga kura wake?

Teh teh teh ...! Mkuu Ritz , Hawa vijana wa CHADEMA wanasema LEMA hana haja tena ya kutimiza ahadi zake kwa sababu amewaletea ukombozi wa fikra, halafu pia hakusanyi Kodi.
 
Last edited by a moderator:
CCM karibu wote ni matapeli hakuna mkweli hata mmoja kule.Nape mpe mdada wa watu ZAWADI yake bana acha utapeli wako!!!!!
 
Hivi ni 'kamdhulumu' ama 'hajatekeleza ahadi yake'?......

Binafsi nimemsikia huyo binti sijamsikia akizungumza suala la kudhulumiwa, bali kakumbushia ahadi aliyopewa na Nape....Na sina uhakika kama ukomo wa kutoa hiyo zawadi ulikuwepo ama la....

Siasa zisitupumbaze tukakosa hata ufahamu wa kutofautisha maana ya kudhulumu na kutotekeleza ahadi kwa wakati....

Ahadi ni dem babu alimiambia akalipe tu
 
Jaman msishangae nape kuwa tapeli maana Tangu uhuru wamekuwa wakiwatapeli wananchi kwa AHADI KEDEKEDE. Mtoto wa nyoka ni nyoka, kwani walioahidiwa meli 2010 wamepewa?
 
Wewe kauzu kweli unajua maana ya kudhulumu hivi Lema alivyotoa ahadi atajenga Machinga Complex mbili na Hospital ya kina mama amewadhulumu wapiga kura wake?
Mkuu umemaliza kila kitu.
 
Bavicha muache Uongo hakuna aliye dhulumiwa bali amecheleweshewa ahadi.

Gongo mbaya sana.
 
Bavicha muache Uongo hakuna aliye dhulumiwa bali amecheleweshewa ahadi.

Gongo mbaya sana.
Bavicha wanatapatapa hovyo hawajuhi pakushika kila pumba wakikutana nao wanaleta JF...hivi John Mnyika kaishaleta maji Ubungo kama alivyohaidi?
 
Hiv amekosekana mtu wa kutueleza nape aliahidi nn?

Nape njoo useme utatekeleza lin hyo ahadi na kama huwezi sema wadau wakusaidie kulipa...
Ila angepatikana mtu akatueleza hyo ahadi ni ipi ingesaidia sana....
 
Nape badae atampigia simu wakutane Guest, kwani CCM wana dogo hawa?
Dada akikubali atapewa zaidi ya hiyo zawadi, na akishaliwa na kuwa mwanaccm bac ataukwaa na U-DC kabisa.

mbwa wenye fikra fupi km wewe dawa yenu ni kupelekwa iringa.

Huwezi kuish maisha chanya chini ya ubongo hasi
 
Back
Top Bottom