Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Nape ajitafakari Sasa naona anachofanya kimevuka msitari mwekundu kinaondoa kuvumiliana kama Taifa anaachwa aropoke atakavyo kifo cha Magufuli kina utata mwingi Sana na mashaka yanaongezeka pale watu walio na mipini wanapoamua kuleta kejeli na dharau kwa mwenyekiti wao msitaafu wa chama dharau zimedhidi nape atuambie hizi dharau ndio masharti ya uwaziri aliopewa??au Kuna mengineyo?