Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
CCM kumpeleka Nape katika kuongoza delegation yake instead of Makamba or another senior officionado ni dharau.
CHADEMA wanafurahia "Nape aikubali CHADEMA".
Hilarious.
Leo hii Makamba unamwona wa muhumu zaidi kuliko Nape, du, kweli mtazamo hasi unazuia tafakuri makini. Kiranga unakoelekea siko. Huyu Nape aliyemshikia bango Makamba kwa ufisadi wa Jumuia ya vijana ya CCM leo unamwona hana maana, kwako wa maana ni Makamba?. Wengine wengi wanamwona Nape ni mzito kuliko Makamba, tatizo ninaloona hapa ni fikira hasi. Huyu Makamba anayesema JK maarufu kuliko CCM, halafu akageuka, Slaa ni tishio kwa JK na si CCM. Huyu anayeshidwa kujua kuwa kwa kauli yake anakiri Slaa ni tishio kwa JK na CCM ndiyo unamwona wa muhimu? Kiranga unaweza kufikiri zaidi ya hapa, unajishusha sana.