Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Next Level, mimi wasi wasi wangu kama mpiga kura ni mmoja tu, kuwa confused na nani nimpigie kura.....................ccm ikimuweka Nape Ubungo, na Chadema ikimuweka Mnyika, tumpigie kura nani wakati tushaambiwa Nape ana dhamira moja na ya chadema na ni kijana machachari?!
sina nia ya kuwa wapinzani wapigwe mawe, lakini pia hakuna haja ya kwenda 'out of our way' na kuwasifu watu walioko kwenye ccm.
sina nia ya kuwa wapinzani wapigwe mawe, lakini pia hakuna haja ya kwenda 'out of our way' na kuwasifu watu walioko kwenye ccm.