swank
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 748
- 1,043
Habarini wana MMU,
Naombeni mnipe ushauri kwa hii changamoto ninayoipitia sasa!
Mimi ni binti niliyekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa miaka mitatu lakini huyo boyfriend wangu sikuwahi hisia nae sana ila niliingia kwenye mahusiano naye ili tu kujipooza nafsi mara baada ya kuachana na boy mwingne!
Ninekua kwake muaminifu siku zote na haijawahi tokea tugombane, labda kwa mambo madogo madogo tuu!
(Kumbuka moyo wangu haujamkubali sema nashindwa kutoka)
To cut the story Short, nilikutana na kijana fulani kwenye dala dala! Honestly, Moyo wangu ukaangukia hapo! Yule kijana akanipa contacts zake ukawa mwanzo wa kuwasiliana nae!
Huyu kijana (mpya) amekuwa na kawaida ya kunitafuta usiku tuu, yaani nashindwa kuelewa shida nini but may be he is kinda busy so I can't complain!
So, last week aliniita niende home kwake! Nikaenda na nikalala hapo! Lakini kinachoniumiza ni kuwa hakuwa na time na mm kabisa! Nimefika tu akataka game nivompa ht dkk10 hazijafika akaaga anaenda kuprint document akaja kurudi saa6 usiku hapo kumbuka mm ni mgeni na sikula kitu chochote toka nafika!
Pia hana story na mm kabisa, yaani yupo busy busy na anachokifanya ht hakieleweki!
Wana MMU, naombeni mnishauri ni kweli ananipenda huyu mtu? Maana naumia sana si mnajua mtu ukipenda tena!
Dooh!!
Hapa nipo kwenye dillema, nibaki na huyu boyfriend wangu au nimgande huyu kipenzi changu kipya
NB: Kejeli na matusi hayatosaidia, hili ni janga na kila mtu humpata!
Naombeni mnipe ushauri kwa hii changamoto ninayoipitia sasa!
Mimi ni binti niliyekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa miaka mitatu lakini huyo boyfriend wangu sikuwahi hisia nae sana ila niliingia kwenye mahusiano naye ili tu kujipooza nafsi mara baada ya kuachana na boy mwingne!
Ninekua kwake muaminifu siku zote na haijawahi tokea tugombane, labda kwa mambo madogo madogo tuu!
(Kumbuka moyo wangu haujamkubali sema nashindwa kutoka)
To cut the story Short, nilikutana na kijana fulani kwenye dala dala! Honestly, Moyo wangu ukaangukia hapo! Yule kijana akanipa contacts zake ukawa mwanzo wa kuwasiliana nae!
Huyu kijana (mpya) amekuwa na kawaida ya kunitafuta usiku tuu, yaani nashindwa kuelewa shida nini but may be he is kinda busy so I can't complain!
So, last week aliniita niende home kwake! Nikaenda na nikalala hapo! Lakini kinachoniumiza ni kuwa hakuwa na time na mm kabisa! Nimefika tu akataka game nivompa ht dkk10 hazijafika akaaga anaenda kuprint document akaja kurudi saa6 usiku hapo kumbuka mm ni mgeni na sikula kitu chochote toka nafika!
Pia hana story na mm kabisa, yaani yupo busy busy na anachokifanya ht hakieleweki!
Wana MMU, naombeni mnishauri ni kweli ananipenda huyu mtu? Maana naumia sana si mnajua mtu ukipenda tena!
Dooh!!
Hapa nipo kwenye dillema, nibaki na huyu boyfriend wangu au nimgande huyu kipenzi changu kipya
NB: Kejeli na matusi hayatosaidia, hili ni janga na kila mtu humpata!