miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Habari za muda huu?
Mimi ni mama kijacho miezi 3.5 nilienda klinic nikapewa hizi dawa zinaitwa FERROUS SULPHATE+ FOLIC ACID, Nikashauriwa kila siku nimeze vidonge 2 Mara moja Ila Cha kushangaza kila nikimeza baada ya nusu saa tumbo linauma sana linavuruga mpaka naharisha Ila siku nisipomeza hata siumwi.
Nikimeza tu tumbo linauma sana sasa nashindwa kuelewa nifanyaje maana naskia hizi dawa ni muhimu kumeza naombeni mnisaidie ushauri nakosea wapi au nifanyaje ili nikitumia nisipate maumivu ya tumbo.
Mimi ni mama kijacho miezi 3.5 nilienda klinic nikapewa hizi dawa zinaitwa FERROUS SULPHATE+ FOLIC ACID, Nikashauriwa kila siku nimeze vidonge 2 Mara moja Ila Cha kushangaza kila nikimeza baada ya nusu saa tumbo linauma sana linavuruga mpaka naharisha Ila siku nisipomeza hata siumwi.
Nikimeza tu tumbo linauma sana sasa nashindwa kuelewa nifanyaje maana naskia hizi dawa ni muhimu kumeza naombeni mnisaidie ushauri nakosea wapi au nifanyaje ili nikitumia nisipate maumivu ya tumbo.