Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,441
Ndugu zangu naomba msaada weekend iliyopita nilipiga pombe sana, ratiba yangu ya kunywa bia ni kuanzia Ijumaa mpka Jumapili ila nimepata tatizo moja weekend iliyopita nilipiga Sana vyombo asubuhi nikaamka nina kikohozi na mafua, nikanywa dawa za kikohozi siku mbili kila kitu kikatulia.
Nilijua ni mafua ya kawaida ila leo kama kawaida nilitaka niendeleze ratiba yangu, nimepiga bia nne kikohozi kikaanza. Je hii nini?? Ni ugonjwa Ninao? Je ni ugonjwa gani huu kuzingua starehe yangu? Au ni maombi ya Bi mkubwa wangu make amekua akipiga vita Mimi kula chombo.
Msaada please
Nilijua ni mafua ya kawaida ila leo kama kawaida nilitaka niendeleze ratiba yangu, nimepiga bia nne kikohozi kikaanza. Je hii nini?? Ni ugonjwa Ninao? Je ni ugonjwa gani huu kuzingua starehe yangu? Au ni maombi ya Bi mkubwa wangu make amekua akipiga vita Mimi kula chombo.
Msaada please