Napata choo laini sana, tatizo ni nini?

Asovene

JF-Expert Member
Jan 7, 2017
213
216
Habari zenu madakitari mliopo hapa jf doctor...
Naomba mnisaidie,kwa muda sasa napata choo kama bata vile yaani kama una harisha lakini siyo,nakunya choo kinatawanyika badala ya kufyatua makimba kama zamani.
Nakumbuka zamani mtu unafyatua pyaaa...huna haja ya kuchamba lakini siku hizi hali ni tofauti huwezi kunya bila kuchamba tena maji yawe mengi.
JE KUNA TATIZO GANI HAPA???
 
aiseeee kwaiyo wewe nataka kitu chakimba rejateja hutaki? ndo nilichokielewa mimi au
 
Pole sana Mkuu Asovene...... inawezekana una Tatizo la Typhod hivyo nenda kapime na upate dawa haraka.......
 
Tatzo ni hauna maji au? Hueleweki
Stool.JPG


labda achague namba apo tumsaidie.
 
Habari zenu madakitari mliopo hapa jf doctor...
Naomba mnisaidie,kwa muda sasa napata choo kama bata vile yaani kama una harisha lakini siyo,nakunya choo kinatawanyika badala ya kufyatua makimba kama zamani.
Nakumbuka zamani mtu unafyatua pyaaa...huna haja ya kuchamba lakini siku hizi hali ni tofauti huwezi kunya bila kuchamba tena maji yawe mengi.
JE KUNA TATIZO GANI HAPA???
Kimbaz.JPG


Sema we uko wapi apo? au unataka ipi?
 
Back
Top Bottom