fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Mwanamke mwanamke tu miaka 1000Huyo anaesema nilikosa wateja hajui aongealo hata kuitangaza huku ni vile nimo lakini si lazima wateja wapo tu isikupe shida hata mtu atakaeitafuta wa kutoka humu naweza nismpe ikakaa tu siitegemei sana nyumba ndg, pia sihitaji mtu anitafutie mteja ndio maana niliweka namba mwenye kuhitaji anitafute yeye si kwa kuambiwa, bei siweki humu kwa kuwa huwa nyumba zangu ni biashara yangu bei ataijua atakaehitaji tu