Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 845
Ubishi ulikuwa wa nini sasa!!!
Vizuri baada ya Wateja kutoonekana umeona Leo uweke picha
Alidhani wateje watapatikana kirahisi sasa baada ya kuona imekuwa ngumu ikabidi hayafanyie kazi maoni ya wadauUbishi ulikuwa wa nini sasa!!!
Unafanya biashara unaelekezwa unajifanya nunda, ooh nyumba nzuri inajitangaza, sasa kama ulijua hivyo unaitangaza ya nini!!!
Picha inarahisisha mtu kuchukua namba kukutafuta, lakini from no where tu mtu akutafute kwa kitu hata hakijui seriously!!!
Ewaaaa,
Nissan nyeupe hao..chengaUbishi ulikuwa wa nini sasa!!!
Unafanya biashara unaelekezwa unajifanya nunda, ooh nyumba nzuri inajitangaza, sasa kama ulijua hivyo unaitangaza ya nini!!!
Picha inarahisisha mtu kuchukua namba kukutafuta, lakini from no where tu mtu akutafute kwa kitu hata hakijui seriously!!!
Huyo anaesema nilikosa wateja hajui aongealo hata kuitangaza huku ni vile nimo lakini si lazima wateja wapo tu isikupe shida hata mtu atakaeitafuta wa kutoka humu naweza nismpe ikakaa tu siitegemei sana nyumba ndg, pia sihitaji mtu anitafutie mteja ndio maana niliweka namba mwenye kuhitaji anitafute yeye si kwa kuambiwa, bei siweki humu kwa kuwa huwa nyumba zangu ni biashara yangu bei ataijua atakaehitaji tu
Punguza hasira Ndugu yangu,,Na Imani utanielewa, tena nimtu mzima kwanini unafanya mambo Kwa hasira, unaweza Ukaongea nakusema Kwa utani watu wakakuchukulia tofauti, jishusheHuyo anaesema nilikosa wateja hajui aongealo hata kuitangaza huku ni vile nimo lakini si lazima wateja wapo tu isikupe shida hata mtu atakaeitafuta wa kutoka humu naweza nismpe ikakaa tu siitegemei sana nyumba ndg, pia sihitaji mtu anitafutie mteja ndio maana niliweka namba mwenye kuhitaji anitafute yeye si kwa kuambiwa, bei siweki humu kwa kuwa huwa nyumba zangu ni biashara yangu bei ataijua atakaehitaji tu
Acha majivuno mkuu, kama una nia ya kupangisha nyumba yako tulia usibishane na watu, kwani watu kusema ni jambo la kawaida. Ukisheheni majivuno hivi hata huyo mpangaji wako atapata taabu kwelikweliSina haraka nayo mkuu hata ikikaa mwaka bila mteja hainidhuru kitu chochote
Ukiona manyoya,....Anaetaka atanitafuta na bila hivyo pia bado wahitaji wapo wengi ambao hata bila kupitia huku watapatikana tu so far aliopo atatoka Feb ofisi nyingi zinaendekea kuhamia kule nyumba ni nzuri itajitangaza tu isikupotezee muda kwa kutaka picha
Mkuu mbona unaogopa kuisogelea nyumba yako kuipiga picha?
Duhh, Idodomya kuna minazi! Aiseee
Sijaona picha hayo madirisha umeyaonaje?Nimependa madirisha yake safi sana