Demu wako atakuwa Mpare nini Mganga maana wapare kwa kupenda ngono ni Mungu na Daktari tu wanaweza kujua, anataka karentini imkute geto ili aikomoe kama sio yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel mkuu, hzo zingne ntafata kesho,Ushauri wangu chukua vitu vikavu...tambi, makaroni, mchele, maharage, nyanya za kopo,/pakti, sukari, chumvi, unga wa ngano. Mahindi, maziwa ya UHT n.k. nyama, samaki, mayai, maziwa, mikate hizo Ni perishables..haziwez kaa muda mrefu
Hahahahahah, ni mpare kwel mkuu, dah umejuaje mkuu wee ni hatarDemu wako atakuwa Mpare nini Mganga maana wapare kwa kupenda ngono ni Mungu na Daktari tu wanaweza kujua, anataka karentini imkute geto ili aikomoe kama sio yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni pure..ni chumvi tu..!
Ushauri wangu chukua vitu vikavu...tambi, makaroni, mchele, maharage, nyanya za kopo,/pakti, sukari, chumvi, unga wa ngano. Mahindi, maziwa ya UHT n.k. nyama, samaki, mayai, maziwa, mikate hizo Ni perishables..haziwez kaa muda mrefu
Kondom au Mimba iliyotarajiwaWell let me see
1. Mchele
2. Unga noo, mimi mwanaume wa Dar
3. Maharage
4. Maji ya kunywa
5. Should i take ng'ombe kuku or samaki
6. Condoms box zima or pakiti 5 tu
7. Sugar
8. Bread
9. Sanitizers na mask kadhaa
10. Fruits
11. Milk
12. Multivitamins za kutosha
Well, ujue sio kwamba naogopa sana ila am kinda frightened.
Demu wangu kanambia anakuja kwangu kipindi chote hiki cha Corona.
Anyway nadhani sijasahau kitu hapo
Uzi tayar...
DuuuuAww yah, ujue nmetoka duka la dawa now checking out sanitizers and mask, hakuna, sanitizer nilinunua juz elf 10 Kachupa kadogo leo yule dada ananambia zmeisha zote na kesho watauza elf15 or 20
Though condoms are still there.. Lol
Hizo Carbs si za mchezo.Men hupendi kula ugali badala yake unashobokea mikate[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah....mwanaume asbh kula ugali mbuzi choma plus greens za kutosha na mtindi juu..mchana makande na maji mengi..usiku kula matunda sahan nzima!
Dadek
[emoji23][emoji23][emoji23], sawaaaa...Magoigoi hata kwa sura hamjifichii[emoji6]
NyambafDemu wako atakuwa Mpare nini Mganga maana wapare kwa kupenda ngono ni Mungu na Daktari tu wanaweza kujua, anataka karentini imkute geto ili aikomoe kama sio yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi binafsi nimeamua kutopanikishwa na hii mihemko inayoendelea kwa sasa. Sifanyi shopping wala nini naendelea na maisha yangu ya kawaida. Afta roo nimeshahisi huu ugonjwa inawezekana unapewa promo kubwa kuliko uhalisia wenyewe. Wabongo wote waliozuiliwa China mpaka leo tusisikie yoyote amekufa?Pale stock inaisha baada ya wiki mbili ndio quarantine inaanza[emoji30]
Jr[emoji769]