Well let me see
1. Mchele
2. Unga noo, mimi mwanaume wa Dar
3. Maharage
4. Maji ya kunywa
5. Should i take ng'ombe kuku or samaki
6. Condoms box zima or pakiti 5 tu
7. Sugar
8. Bread
9. Sanitizers na mask kadhaa
10. Fruits
11. Milk
12. Multivitamins za kutosha
Well, ujue sio kwamba naogopa sana ila am kinda frightened.
Demu wangu kanambia anakuja kwangu kipindi chote hiki cha Corona.
Anyway nadhani sijasahau kitu hapo
Uzi tayar...
Demu wako atakuwa Mpare nini Mganga maana wapare kwa kupenda ngono ni Mungu na Daktari tu wanaweza kujua, anataka karentini imkute geto ili aikomoe kama sio yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
MmhMen hupendi kula ugali badala yake unashobokea mikate[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah....mwanaume asbh kula ugali mbuzi choma plus greens za kutosha na mtindi juu..mchana makande na maji mengi..usiku kula matunda sahan nzima!
Dadek
Kwani hukuona hapo anasema yupo Dar [emoji23]Men hupendi kula ugali badala yake unashobokea mikate[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah....mwanaume asbh kula ugali mbuzi choma plus greens za kutosha na mtindi juu..mchana makande na maji mengi..usiku kula matunda sahan nzima!
Dadek
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]Demu kaaga kwao kuwa kawekwa karantini wiki mbili.
Dah, maana nmeingia duka la dawa kuulizia sanitizer naambia bro zmeisha, na zilikua znauzwa elf 10 kachupa kadogo no znauzwa elf15 na akanambia kesho si ajab ztakua elf20Pale stock inaisha baada ya wiki mbili ndio quarantine inaanza[emoji30]
Jr[emoji769]
Aww yah, ujue nmetoka duka la dawa now checking out sanitizers and mask, hakuna, sanitizer nilinunua juz elf 10 Kachupa kadogo leo yule dada ananambia zmeisha zote na kesho watauza elf15 or 20No 6 😛
Bro ugali kwasisi ma bachelor unatupa constipation tuu, bora vyakula lain,Men hupendi kula ugali badala yake unashobokea mikate[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah....mwanaume asbh kula ugali mbuzi choma plus greens za kutosha na mtindi juu..mchana makande na maji mengi..usiku kula matunda sahan nzima!
Dadek
Ngoja tuone mbwembwe zinaisha liniWell let me see
1. Mchele
2. Unga noo, mimi mwanaume wa Dar
3. Maharage
4. Maji ya kunywa
5. Should i take ng'ombe kuku or samaki
6. Condoms box zima or pakiti 5 tu
7. Sugar
8. Bread
9. Sanitizers na mask kadhaa
10. Fruits
11. Milk
12. Multivitamins za kutosha
Well, ujue sio kwamba naogopa sana ila am kinda frightened.
Demu wangu kanambia anakuja kwangu kipindi chote hiki cha Corona.
Anyway nadhani sijasahau kitu hapo
Uzi tayar...