Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Well let me see
1. Mchele
2. Unga noo, mimi mwanaume wa Dar
3. Maharage
4. Maji ya kunywa
5. Should i take ng'ombe kuku or samaki
6. Condoms box zima or pakiti 5 tu
7. Sugar
8. Bread
9. Sanitizers na mask kadhaa
10. Fruits
11. Milk
12. Multivitamins za kutosha
Well, ujue sio kwamba naogopa sana ila am kinda frightened.
Demu wangu kanambia anakuja kwangu kipindi chote hiki cha Corona.
Anyway nadhani sijasahau kitu hapo
Uzi tayar...
1. Mchele
2. Unga noo, mimi mwanaume wa Dar
3. Maharage
4. Maji ya kunywa
5. Should i take ng'ombe kuku or samaki
6. Condoms box zima or pakiti 5 tu
7. Sugar
8. Bread
9. Sanitizers na mask kadhaa
10. Fruits
11. Milk
12. Multivitamins za kutosha
Well, ujue sio kwamba naogopa sana ila am kinda frightened.
Demu wangu kanambia anakuja kwangu kipindi chote hiki cha Corona.
Anyway nadhani sijasahau kitu hapo
Uzi tayar...