General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
- Thread starter
- #41
Unaweza mwaga maji chumba kizima, mara kudeki, yani full karahaaHio ndio biashara ambayo inanifanya nishindwe kupika yani. Kupika ni raha sana ila ingekuwa kuna namna ukishashiba vyombo vinajiosha ingekuwa raha sana. Mchina atufyatulie mashine hio tafadhali. Kupika sio kazi, ishu kuosha vyombo yani ndio balaa!!!