Naona kifo kinaninukia

Naona kifo kinaninukia

Duniani kuna mambo!


Kwa faulo hizo dogo anatakiwa kuhama mtaa fasta.
 
Tafuta kibao cha crazy GK kinaitwa "Nitakufaje" kitakusaidia mawazo zaidi
 
Andaa tuuu 0713 achana na mke wa mtu ww hebu jiulize ndo wa kwako anachukuliwa hivyo moyo unakuwaje
 
Hautaki mat.usi wakati unalala na mke wa jirani. Umenena kifo mwenyewe kama unajipenda utajua la kufanya.
 
nimecheka sana na comments za watu hapa,unachofanya ni haramu na dhambi kwa mila wako,sitisha haraka kabla ya mauti kukufikia.
usimwabie kitu huyo mke wa mtu wewe mpitezee tu na wala usimpe nafasi ajieleze kwako chochote
 
Acha utoto wa kumtumia mke wa mtu SMS. Yeye ni binadamu atasahau kudelete halafu mwenye mke ataona. Ukiiba iba vizuri. Ukidanganya kumbuka. Ila una moyo nyumba moja unamwibia mwenzio? Aaahhh ungeenda hata mtaa wa saba.
 
kifo hukijui? haya endelea kuchungulia kaburi utaelewa tu
 
Kaz kweli kweli ad madereva bodaboda wako Jf" mwendo wakujismatphonisha tu
 
....mi nachowapendea machoko mna sound kinyama kama mateja vile!
...hapa unatafuta 'justification' tu!
 
Back
Top Bottom