Kama sisi wanaccm ni milioni 17 ndo mtaji wetu kwa nini tunaomba kura. Fikirisha akili kidogo tusionekane kituko ktk mitando.Chadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS.....
Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao
Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima....
KALAGHABAHO!!
Ukimsikiliza Kheri James utagundua hofu yake kubwa iko katika Chadema kulinda kura zao baada ya uchaguzi.
Vyovyote itakavyokwenda Kuwa...
Uchaguzi Huu Utatubadilisha Jinsi Ya KUFIKIRI Sisi na Vyama Vya Upinzani...
CHANGAMOTO Hazikimbiwi.....CHANGAMOTO zinaimarisha MTU,WATU,TAASISI NA JAMII.....
Nenda jikoni kampikie hawala yako ili ujipendekeze akuoe!Na wakija kihivyo ndio patanoga zaidi , maana tumewalia timing muda mrefu sana
Hapa umeweka kisu kwenye mfupa. Wanajua fika lazima waibe ili kupata ushindi wautakao, lakini jinsi Lisu anavyoamsha hamasa kila mahali, wanajua itakuwa shida kubwa sana. Sasa namna pekee ni kuhakikisha wanaanzisha hujuma mapema. Tathmini yao kwenye haya mapumziko yao yamewaonyesha uwezo wa kushindana kisiasa unazidi kuwaelemea, hivyo namna pekee ni kurudia mbinu zao ovu zinazowafanyaga watangazwe washindi ni matter what. Walitarajia cdm iwe na mwitikio mdogo, lakini wanachokiona wanajua fika wakiigiza siasa za kweli haziwatoi bila uharamia.
Nilimsikiliza anasema Tundu Lissu anataka NEC ifanye kazi kwa matakwa yake ilhali Lissu amesisitiza umuhimu wa Chadema kuwa na mawakala wake katika kila kituo cha kupiga kura. Kumbe hapa ndiyo kwenye upenyo wao wa kuiba kura.Hapa umeweka kisu kwenye mfupa. Wanajua fika lazima waibe ili kupata ushindi wautakao, lakini jinsi Lisu anavyoamsha hamasa kila mahali, wanajua itakuwa shida kubwa sana. Sasa namna pekee ni kuhakikisha wanaanzisha hujuma mapema. Tathmini yao kwenye haya mapumziko yao yamewaonyesha uwezo wa kushindana kisiasa unazidi kuwaelemea, hivyo namna pekee ni kurudia mbinu zao ovu zinazowafanyaga watangazwe washindi ni matter what. Walitarajia cdm iwe na mwitikio mdogo, lakini wanachokiona wanajua fika wakiigiza siasa za kweli haziwatoi bila uharamia.
Nilimsikiliza anasema Tundu Lissu anataka NEC ifanye kazi kwa matakwa yake ilhali Lissu amesisitiza umuhimu wa Chadema kuwa na mawakala wake katika kila kituo cha kupiga kura. Kumbe hapa ndiyo kwenye upenyo wao wa kuiba kura.
Watu Aina Ya Tundu Lissu Huwa Wanakuongezea FIKRA TUNDUIZI na kukufinyanga kuiangalia DUNIA Tofauti na Ulivyoizoea ama kujizoeza.....
Ukitaka Kuua THINK TANK ndani ya CHAMA basi dhibiti PARTY CAUCUS.....
CCM ni chama kinachopitia Mengi na Lazima Kiendelee Kupitia MENGI ili kiwe BORA Tena na Tena.....
Dunia inakwenda Kasi Sana....
Mungu Mwenyezi atuweke TUFIKE OKTOBA 28,aaamin
Hao walio bebwa na malori na sh 5,000 mkononi
Hapa umesema kweli. Kabla ya hizi kampeni kulikuwa na picha ya kutengeneza isiyo halisi, lakini baada ya hizi kampeni kuanza picha halisi imeonekana.
Wapinzan wawe makiniMapunziko waliyokaa ni kwaajili ya kupanga mikakati miovu ambayo ndiyo itakayowadumbukiza shimoni.
Nyinyi hamna hata wa kuwabeba kwenye malori!!Hao walio bebwa na malori na sh 5,000 mkononi
Tuna kwenda kwa nauli zetu na mchango kwa kampeni ya Lissu tunatoa.Nyinyi hamna hata wa kuwabeba kwenye malori!!
Hao walio bebwa na malori na sh 5,000 mkononi
Unaenda kwenye mikutano wakati uko UK unalea kibabu cha kizungu. Labda mikutano ya mtandaoni!!Tuna kwenda kwa nauli zetu na mchango kwa kampeni ya Lissu tunatoa.
Kimya na vikao vya wachawi matokeo yake yanajulikana Mkuu!! Usinipige mawe sijamtaja mtu yeyote mieUmejuaje Bwana Mtabiri?!!!