Uchaguzi 2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.

HAYO ULIYOYATAJA NI MAKUBWA MNO. CHADEMA MMESHINDWA KUJENGA HATA OFISI MOJA KWA MIAKA MITANO PAMOJA NA KUPATA RUZUKU YA MILIONI 336 KILA MWEZI. HATA KUPIGA RANGI OFISI YA MAKAO MAKUU DSM MMESHINDWA. PESA ZOTE AMEKURA MBOWE. HALAFU ETI TUWAKABIDHI NCHI. HAKUNA KITU KAMA HICHO. ENDELEA KUCHOMA MAOFISI YENU TU NDO KAZI MNAYOIJUA.
 
Chama kilichoko madarakani kwa huku Afrika kujaza watu wala sio habari, maana wao wanaweza kulazimisha watu, na wana access na hazina ya taifa. Hivyo wana uwezo wa wao kuchota pesa ili kukusanya watu ni kirahisi sana. Wapinzani tena wanaofanyiwa ukatili wa wazi kuendelea kupata watu kwenye mikutano yao hiyo ndio habari. Unapoona watu wanaenda kwa mapenzi yao kwa wingi, huku wakichangishwa, ni tofauti kabisa na chama kinachogawa chakula, huku kukiwa na fiesta. Hiki kinachoendelea kwenye hizi kampeni ndio utajua kweli ccm sio chama cha kizazi hiki.

BORA HATA CHAUMA CHENYE SERA YA UBWABWA KWA WANAFUNZI KULIKO CHADEMA CHENYE SERA YA MATUSI, VURUGU NA KUUZA NCHI
 
CHADEMA HAWAAMINIKI HATA KIDOGO. KWENYE UCHAGUZI WA 2015 WALIINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA VYAMA VINGINE VYA UKAWA, KUACHIANA MAJIMBO NA BAADAE KUGAWANA RUZUKU. LAKINI KILICHOTOKEA NI CHADEMA KUWAGEUKA KWA KILA KITU NA KUTIA MPIRA KWAPANI. HAWA NDO WAPEWE UONGOZI WA NCHI?
 
Faida ya kuongea miaka 5 peke yako..sasa utaongea nini tena kipya kitakachowakonga mioyo watanzania?

Kwa hoja Lissu hawamuwezi..huyo Mzee apumzike siasa za majukwaani hataziweza.. ni wa kuhurumia.
 
Nasubiri 28 nimpe Lisu kura yangu ili angalau nifutwe machozi kwa nyumba yangu iliyobomolewa kibamba mchana kweupe , sikuwahi hata kutowa bati wala milango.

NATUOMBE
Ewe Mungu wewe ni Mkuu kuliko yeyote.
Wewe ni mkuu Kuliko magufuli na kwa ukuu wako mpe mjawake LISU USHINDI KUTOKA KWAKO ili asimamishe haki na uadilifu kwa raia wa TZ.
Ewe Mungu ,Sisi tulikulilia wakati wa mateso lakini wewe unajibu vile unavyoona inafaa ,Hiari ni yako Sisi hatuna hiari
Ni vyema maamuzi yako ,tumeridhia, na tumetii vile ulivyoona inafaa Ewe Mungu Muumba uliye Pweke katika maamuzi yako na uumbaji, na kuwanadhimu viumbe pale wanapoleta kiburi, Tunakukabidhi Magufuli.
Utukufu ni wako Milele na Milele.

Ewe Mungu Kiburi ni chako na unastahiki , Utukufu ni wako na unastahiki, Wema na Rehema ni zako na Unastahiki.
Bwana Mwenye huruma tele kwa waja wako wema na waovu,basi usituadhibu kwa maovu yetu sisi wanyonge , bali tusamehe, tuongoze na utukirimu ile haki tuliyodhulumiwa na wenye Mamlaka wenye kiburi irejeshwe kwa amri na mapenzi yako .
AMIN
 
M
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1. Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!

Ni hivi: Mzee kaona jahazi linazama, kwahiyo akaona ni bora ajitokeze kuokoa jahazi ingawa kazi ya kujibu hoja za Lissu walipewa UVCCM kwa maagizo ya Bashiru, ila bila shaka mzee amegundua UVCCM pekee hawana uwezo wa kujibu hoja za Lissu hivyo kawataka na wazee wa chama wajitokeze kusaidia.

Kuna wanaoweza kudhani lengo la Makamba ni kumtafutia uteuzi mwanae, ila kwakweli Makamba ameshaona hali ni tete na waze wa chama sasa hawapaswi kukaa kimya.

2. Kauli ya Ndugai ya kumfananisha Lissu na mnyama
Kauli hii ukiichunguza, utagundua inatokana na chuki ambayo chanzo chake ni ushawishi na kukubalika kwa Lissu, jambo linalowafanya wamemjengee chuki Lissu na njia mojawapo ya kuonyesha chuki au kutoa hasira zao ni kutumia lugha kama aliyoitumia ambayo inaonyesha wazi chuki na hasira aliyonayo dhidi ya Lissu.

3. Matamshi ya Kheri James
Huyu nae ni kama Ndugai kwani inaonyesha amepaniki baada ya kuona jinsi Lissu anavyowafunika kwa hoja na sasa wamekosa hoja za kujibu na badala yake wanaibuka na lugha za vitisho na madai ya uongo eti Lissu anamtukana mgombea wa chama chao.

Kama kweli anamtukana,mwambieni ataje hayo matusi kama hajaisha kujikanyaga tu.

4. Mzee Baba kwenda mapumzikoni
Mapumziko haya ni matokeo ya kucheza mziki wa Lissu, na kwakuwa mziki wenye ni mnene, basi alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kujaribu kwenda sambamba na beat, matokeo yake wamechoka/amechoka wakati beats zikiwa bado zinaendelea unless mapumziko hayo yamo kwenye ratiba ya kampeni zake.

Hata vitani huwa kuna kawaida ya kurudisha majeshi nyuma na kujipanga upya inapotokea mmepata kichapo kikali na kitakatifu huku mkiwa mnapoteana katika uwanja wa vita (battlefield), na hiki ndicho CCM wanakifanya kwa sasa kurudisha majeshi nyuma waangalie wanatoka vipi(wanatia huruma).

Kwahiyo, kutokana na watu hawa kuzidiwa kwa hoja huku wakiumizwa na mafuriko katika mikutano ya Lissu,mtarajie kuona na kusikia mengi ya kushangaza kutoka kwa watu hawa: vitisho, frustrations, hasira, jaziba, n.k.

CCM hawawezi kupanic, labda useme wamekuwa wastaarabu na wavumilivu kupita kiasi na sasa uvumilivu umefika mwisho. Wamechoka kutukanwa, kudhalilishwa, kukebehiwa, na kunenewa uongo. Lissu ni kinara wa uongo. Amevuliwa vya kutosha. Sasa wacha mitambo iwashwe atakayebabuka asilalamike. Kama ni ustaarabu wamekuwa wastaarabu mno. Sasa imetosha.
 
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1. Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!

Ni hivi: Mzee kaona jahazi linazama, kwahiyo akaona ni bora ajitokeze kuokoa jahazi ingawa kazi ya kujibu hoja za Lissu walipewa UVCCM kwa maagizo ya Bashiru, ila bila shaka mzee amegundua UVCCM pekee hawana uwezo wa kujibu hoja za Lissu hivyo kawataka na wazee wa chama wajitokeze kusaidia.

Kuna wanaoweza kudhani lengo la Makamba ni kumtafutia uteuzi mwanae, ila kwakweli Makamba ameshaona hali ni tete na waze wa chama sasa hawapaswi kukaa kimya.

2. Kauli ya Ndugai ya kumfananisha Lissu na mnyama
Kauli hii ukiichunguza, utagundua inatokana na chuki ambayo chanzo chake ni ushawishi na kukubalika kwa Lissu, jambo linalowafanya wamemjengee chuki Lissu na njia mojawapo ya kuonyesha chuki au kutoa hasira zao ni kutumia lugha kama aliyoitumia ambayo inaonyesha wazi chuki na hasira aliyonayo dhidi ya Lissu.

3. Matamshi ya Kheri James
Huyu nae ni kama Ndugai kwani inaonyesha amepaniki baada ya kuona jinsi Lissu anavyowafunika kwa hoja na sasa wamekosa hoja za kujibu na badala yake wanaibuka na lugha za vitisho na madai ya uongo eti Lissu anamtukana mgombea wa chama chao.

Kama kweli anamtukana,mwambieni ataje hayo matusi kama hajaisha kujikanyaga tu.

4. Mzee Baba kwenda mapumzikoni
Mapumziko haya ni matokeo ya kucheza mziki wa Lissu, na kwakuwa mziki wenye ni mnene, basi alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kujaribu kwenda sambamba na beat, matokeo yake wamechoka/amechoka wakati beats zikiwa bado zinaendelea unless mapumziko hayo yamo kwenye ratiba ya kampeni zake.

Hata vitani huwa kuna kawaida ya kurudisha majeshi nyuma na kujipanga upya inapotokea mmepata kichapo kikali na kitakatifu huku mkiwa mnapoteana katika uwanja wa vita (battlefield), na hiki ndicho CCM wanakifanya kwa sasa kurudisha majeshi nyuma waangalie wanatoka vipi(wanatia huruma).

Kwahiyo, kutokana na watu hawa kuzidiwa kwa hoja huku wakiumizwa na mafuriko katika mikutano ya Lissu,mtarajie kuona na kusikia mengi ya kushangaza kutoka kwa watu hawa: vitisho, frustrations, hasira, jaziba, n.k.
Kilicho pandwa ndicho kitakacho vyunwa,wengine naamini no miongoni mwa wanaotafutwa na m.kiti kwa ushauri wao na matendo yao.
 
CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar.
Imekataliwa Duniani na Mbinguni.
MaCCM yamepoteana, hayaamini LISSU atanii na hana bei.

#NIYEYE #LISSURAIS2020
 
CCM ya sasa ipo disorganized kuliko wakati wowote wa kampeni.

Wapinzani wakikaza kwenye kampeni na kulinda kura, CCM watapoteza sana.

CCM hasa hii ya JPM, imewaumiza wengi sana. Hawana cha kumuuza. Wanaishia madaraja, ndege na treni ya umeme.

Zaidi ya hapo hakuna.
Na kosa kubwa sana walilofanya ni kitendo cha kuzuia mikutano ya wapinzani for 5 years. Wanayoyasema sasa ni yale yale ambayo wameyasema for the past 5 years so people know and they want to hear something new.
 
Chadema hawajambo Kwa Tambo Kwenye SOCIAL NETWORKS.....
Kwa Mtu Asiyeilewa CCM Vyema anaweza kuwa PARANOID na vitisho vyao

Mtaji Wa CCM Ni wanachama wake milioni 17 nchi nzima....

KALAGHABAHO!!
Ushindi wa kura 8 milioni Vs 6 milioni mwaka 2015, hao wengine walikuwa wapi?
 
Unajiteke
Kwa namna mambo yanavyoenda nikitoa unafiki na kuchambua Siasa na nikiambiwa nibet naona Magufuli akishinda zaidi ya alivyozhinda 2015.
Yeyote anaetaka tuweke dau juu ya Hili anicheck ili walau Nipige hela.
Maana siasa sinamafungamano nayo basi nipate hata hela kwenye hii siasa yenu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
A
Bwashe, Lissu ametoa tusi gani? Mimi naona anatoa hoja zinazowaondoa relini!

QUOTE="Lu-ma-ga, post: 36665686, member: 26656"]
Mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa. Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM. Acheni kuporomosha mitusi toeni sera vinginevyo sheria itawalazimisha.
[/QUOTE]
Hoja ndogo tu,maana haihitaji degree kujibu.uzuri kampeni wrote tunafatiria nchi nzima.we we ulieona matusi na NEC haijayaona VP tukuamini.

Uzuri Alisha waonya wahusika,nao sio wajinga.
 
Ndo maana Lisu anawakanya kila kukicha kuhusiana na mfumo wakikuda Wa kiungozi hapa nchini.iweje Wakurugenzi ndo wawe msitari wa mbele kuwawekea mapingamizi wagombea wa upinzani irihali wao ni wasimamizi.nini kinawapelekea kufanya hivyo?.

Nchi nzima,hakuna kijani aliyewekewa pingamizi na Mkurugenzi.

Wanachokitafuta watakipata.
 
Chama kilichoko madarakani kwa huku Afrika kujaza watu wala sio habari, maana wao wanaweza kulazimisha watu, na wana access na hazina ya taifa. Hivyo wana uwezo wa wao kuchota pesa ili kukusanya watu ni kirahisi sana. Wapinzani tena wanaofanyiwa ukatili wa wazi kuendelea kupata watu kwenye mikutano yao hiyo ndio habari. Unapoona watu wanaenda kwa mapenzi yao kwa wingi, huku wakichangishwa, ni tofauti kabisa na chama kinachogawa chakula, huku kukiwa na fiesta. Hiki kinachoendelea kwenye hizi kampeni ndio utajua kweli ccm sio chama cha kizazi hiki.
 
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1. Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!

Ni hivi: Mzee kaona jahazi linazama, kwahiyo akaona ni bora ajitokeze kuokoa jahazi ingawa kazi ya kujibu hoja za Lissu walipewa UVCCM kwa maagizo ya Bashiru, ila bila shaka mzee amegundua UVCCM pekee hawana uwezo wa kujibu hoja za Lissu hivyo kawataka na wazee wa chama wajitokeze kusaidia.

Kuna wanaoweza kudhani lengo la Makamba ni kumtafutia uteuzi mwanae, ila kwakweli Makamba ameshaona hali ni tete na waze wa chama sasa hawapaswi kukaa kimya.

2. Kauli ya Ndugai ya kumfananisha Lissu na mnyama
Kauli hii ukiichunguza, utagundua inatokana na chuki ambayo chanzo chake ni ushawishi na kukubalika kwa Lissu, jambo linalowafanya wamemjengee chuki Lissu na njia mojawapo ya kuonyesha chuki au kutoa hasira zao ni kutumia lugha kama aliyoitumia ambayo inaonyesha wazi chuki na hasira aliyonayo dhidi ya Lissu.

3. Matamshi ya Kheri James
Huyu nae ni kama Ndugai kwani inaonyesha amepaniki baada ya kuona jinsi Lissu anavyowafunika kwa hoja na sasa wamekosa hoja za kujibu na badala yake wanaibuka na lugha za vitisho na madai ya uongo eti Lissu anamtukana mgombea wa chama chao.

Kama kweli anamtukana,mwambieni ataje hayo matusi kama hajaisha kujikanyaga tu.

4. Mzee Baba kwenda mapumzikoni
Mapumziko haya ni matokeo ya kucheza mziki wa Lissu, na kwakuwa mziki wenye ni mnene, basi alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kujaribu kwenda sambamba na beat, matokeo yake wamechoka/amechoka wakati beats zikiwa bado zinaendelea unless mapumziko hayo yamo kwenye ratiba ya kampeni zake.

Hata vitani huwa kuna kawaida ya kurudisha majeshi nyuma na kujipanga upya inapotokea mmepata kichapo kikali na kitakatifu huku mkiwa mnapoteana katika uwanja wa vita (battlefield), na hiki ndicho CCM wanakifanya kwa sasa kurudisha majeshi nyuma waangalie wanatoka vipi(wanatia huruma).

Kwahiyo, kutokana na watu hawa kuzidiwa kwa hoja huku wakiumizwa na mafuriko katika mikutano ya Lissu,mtarajie kuona na kusikia mengi ya kushangaza kutoka kwa watu hawa: vitisho, frustrations, hasira, jaziba, n.k.
Nilijua kwa kazi Magufuli aliyoifanya miaka 5 kufanya siasa peke yake ..kuwaumiza wapinzani,kujenga maflai over ,mandege yake na mastigaji ,mastandard geji asingefanya kampeni..kumbe ngoma ni ngumu hivi...Duuu
Hali ya siasa n nyingine kabisa usipime .
Muda huu hadi akina Kikwete,Sumaye ,Pinda ,Makamba na akina Ndugai wanaimba wimbo wasiojua kucheza.

KIKWETE angeacha tu huyu Kizimngara apige kampeni afie jukwaani.
 
Dalili ni hizi tatu miongoni mwa nyinginezo.

1. Speech ya Makamba kumjibu Lissu
Huyu mzee katoka mafichoni na kuja kujaribu kujibu hoja za Lissu!
....
2. Kauli ya Ndugai ya kumfananisha Lissu na mnyama
....
3. Matamshi ya Kheri James
.. inaonyesha amepaniki baada ya kuona jinsi Lissu anavyowafunika kwa hoja ...

4. Mzee Baba kwenda mapumzikoni
Mapumziko haya ni matokeo ya kucheza mziki wa Lissu,
...
Kwahiyo, kutokana na watu hawa kuzidiwa kwa hoja huku wakiumizwa na mafuriko katika mikutano ya Lissu,mtarajie kuona na kusikia mengi ya kushangaza kutoka kwa watu hawa: vitisho, frustrations, hasira, jaziba, n.k.

Majibu ya maswali ya Lissu ambayo ni VIOJA badala hoja, yanajibiwa na wagombea ubunge na madiwani kwenye maeneo ya wapiga kura wenye kero za maendeleo. Yanajibiwa kwa hoja kama hivi
 
Usilojua ni usiku wa giza. Afterall siku hizi watu wameanza kumdharau Tundu Lissu maana matusi kwa JPM hata kabla hajagongwa risasi hali kuwa ni jadi yake. Imagine alirudi na kusema Corona ipo, akavaa barakoa siku mbili. Sasa anakusanya watu katika kampeni! Tumuulize Je, corona aliyotangazia ulimwengu bado ipo au haipo? Ni Mwenda wazimu yule. Ngoja baada ya uchaguzi chamoto atakipata
Kusema Corona ipo ni tusi?
Kuvaa barakoa ni tusi?
Kukusanya watu ni tusi?
Basi hata wewe ni tusi.
 
Back
Top Bottom