UVCCM Chato, kauli mlizotoa kwa Lissu zinaweza kuwa chanzo cha vurugu za kisiasa nchini

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,330
24,213
Mambo ya kijinga huwa yanaanza hivi hivi kiutani.

Kilichofanyika Chato na UVCCM kwa mtu asiyeona mbali, utafikiri ndio siasa zenyewe lakini mambo yanaweza kulipuka beyond control.

Siasa za vyama vingi zipo kisheria na sasa ni sehemu ya katiba yetu inayotawala.

Matamshi tuliyosikia kutoka Geita, eti kiongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu asikanyage Chato, ikifuatiwa na kuchoma moto gari la CHADEMA, lina hatarisha amani na siasa za Tanzania.

Hili haliashirii siasa za kistaarabu nchini. Rwanda mambo yalianza hivi hivi kwa chuki kuanza kutawala badala ya sera na ilani za chama husika.

CCM Taifa inabidi ilikemee hili na wahusika wachukuliwe hatua. Kutamka chuki na kuchoma magari moto haviwezi kuwa sera za CCM.

Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
 
Mambo ya kijinga huwa yanaanza hivi hivi kiutani. Kilichofanyika Chato na UVCCM kwa mtu asiyeona mbali, utafikiri ndio siasa zenyewe lakini mambo yanaweza kulipuka beyond control. Siasa za vyama vingi zipo kisheria na sasa ni sehemu ya katiba yetu inayotawala.

Matamshi tuliyosikia kutoka Geita, eti kiongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu asikanyage Chato, ikifuatiwa na kuchoma moto gari la CHADEMA, lina hatarisha amani na siasa za Tanzania.

Hili haliashirii siasa za kistaarabu nchini. Rwanda mambo yalianza hivi hivi kwa chuki kuanza kutawala badala ya sera na ilani za chama husika.

CCM Taifa inabidi ilikemee hili na wahusika wachukuliwe hatua. Kutamka chuki na kuchoma magari moto haviwezi kuwa sera za CCM.
Tatizo wanajiamin kufanya chochote cz ndio wenye mamlaka na Nchi!!
 
Binafsi si CCM wala CHADEMA ila Lissu naye ana matatizo sana hakuna mtu asiyejua namna Lissu alivyomchukia Magufuri, kisha anazungumza hadharani kuwa hakuwa na mpango wa kwenda kumuombea Magufuri ila ameamua kwenda Chato kwenye Kaburi lake akamuamshe na kumwambia aangalie Nchi inavyoliwa!!!!!!! Huu ni utahaira uliopitiza.Kwa hiyo ukikutana na watu wenye mawazo mabavu wanafanya walichofanya, ingawa siungi mkono tukio hilo.
 
Binafsi si CCM wala CHADEMA ila Lissu naye ana matatizo sana hakuna mtu asiyejua namna Lissu alivyomchukia Magufuri, kisha anazungumza hadharani kuwa hakuwa na mpango wa kwenda kumuombea Magufuri ila ameamua kwenda Chato kwenye Kaburi lake akamuamshe na kumwambia aangalie Nchi inavyoliwa!!!!!!! Huu ni utahaira uliopitiza.Kwa hiyo ukikutana na watu wenye mawazo mabavu wanafanya walichofanya, ingawa siungi mkono tukio hilo.
Kweli kabisa, simuungi Lissu kwa matendo yke.
Lakini tukiwa na akili fupi kuingia mtego wa chuki, mtu aliyefanya kama UVCCM-Chato na Lissu kunakuwa hakuna tofauti.
 
Binafsi si CCM wala CHADEMA ila Lissu naye ana matatizo sana hakuna mtu asiyejua namna Lissu alivyomchukia Magufuri, kisha anazungumza hadharani kuwa hakuwa na mpango wa kwenda kumuombea Magufuri ila ameamua kwenda Chato kwenye Kaburi lake akamuamshe na kumwambia aangalie Nchi inavyoliwa!!!!!!! Huu ni utahaira uliopitiza.Kwa hiyo ukikutana na watu wenye mawazo mabavu wanafanya walichofanya, ingawa siungi mkono tukio hilo.
Hivi kwa nini mnakuwa wabinafsi ? Na hapo ndio mnapo onekana kiwa mna matatizo na nyi kwa sababu hamuongelei alicho fanyiwa lisu na magufuli hicho hamkisemi..?

Lisu anaongea maneno tuu lakini magufuli kamtia mwenzie ulemavu wa mwili , inamana hilo hamulioni? Au ni sahihi kwa magufuli kuumiza na kuua ila si sahihi yeye kusemwa! Acheni ubinafsi nanmsiwe na double standard sisi sote ni binadamu
 
Mambo ya kijinga huwa yanaanza hivi hivi kiutani.

Kilichofanyika Chato na UVCCM kwa mtu asiyeona mbali, utafikiri ndio siasa zenyewe lakini mambo yanaweza kulipuka beyond control.

Siasa za vyama vingi zipo kisheria na sasa ni sehemu ya katiba yetu inayotawala.

Matamshi tuliyosikia kutoka Geita, eti kiongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu asikanyage Chato, ikifuatiwa na kuchoma moto gari la CHADEMA, lina hatarisha amani na siasa za Tanzania.

Hili haliashirii siasa za kistaarabu nchini. Rwanda mambo yalianza hivi hivi kwa chuki kuanza kutawala badala ya sera na ilani za chama husika.

CCM Taifa inabidi ilikemee hili na wahusika wachukuliwe hatua. Kutamka chuki na kuchoma magari moto haviwezi kuwa sera za CCM.

Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
Hata onyo ingekuwa jambo la maana. Ccm wanajuwa wao ndiyo wa kuonya na si wa kuonywa.

Inauma zaidi uongozi wa police nao haraka haraka, wanakuja na kauli za gari kuwa bovu !!.
 
Hivi kwa nini mnakuwa wabinafsi ? Na hapo ndio mnapo onekana kiwa mna matatizo na nyi kwa sababu hamuongelei alicho fanyiwa lisu na magufuli hicho hamkisemi..?

Lisu anaongea maneno tuu lakini magufuli kamtia mwenzie ulemavu wa mwili , inamana hilo hamulioni? Au ni sahihi kwa magufuli kuumiza na kuua ila si sahihi yeye kusemwa! Acheni ubinafsi nanmsiwe na double standard sisi sote ni binadamu.
Wanafiki tu hao, wanajiona wao peke yao ndio wenye nchi.
 
Binafsi si CCM wala CHADEMA ila Lissu naye ana matatizo sana hakuna mtu asiyejua namna Lissu alivyomchukia Magufuri, kisha anazungumza hadharani kuwa hakuwa na mpango wa kwenda kumuombea Magufuri ila ameamua kwenda Chato kwenye Kaburi lake akamuamshe na kumwambia aangalie Nchi inavyoliwa!!!!!!! Huu ni utahaira uliopitiza.Kwa hiyo ukikutana na watu wenye mawazo mabavu wanafanya walichofanya, ingawa siungi mkono tukio hilo.
Sasa ndugu we huoni ni suala la kifamilia zaidi kuhusu kutembelea kaburi? Vipi watu baki liwaume wao?
 
Hivi kwa nini mnakuwa wabinafsi ? Na hapo ndio mnapo onekana kiwa mna matatizo na nyi kwa sababu hamuongelei alicho fanyiwa lisu na magufuli hicho hamkisemi..?

Lisu anaongea maneno tuu lakini magufuli kamtia mwenzie ulemavu wa mwili , inamana hilo hamulioni? Au ni sahihi kwa magufuli kuumiza na kuua ila si sahihi yeye kusemwa! Acheni ubinafsi nanmsiwe na double standard sisi sote ni binadamu
ajabu kabisa!
 
Binafsi si CCM wala CHADEMA ila Lissu naye ana matatizo sana hakuna mtu asiyejua namna Lissu alivyomchukia Magufuri, kisha anazungumza hadharani kuwa hakuwa na mpango wa kwenda kumuombea Magufuri ila ameamua kwenda Chato kwenye Kaburi lake akamuamshe na kumwambia aangalie Nchi inavyoliwa!!!!!!! Huu ni utahaira uliopitiza.Kwa hiyo ukikutana na watu wenye mawazo mabavu wanafanya walichofanya, ingawa siungi mkono tukio hilo.
Hivi kati ya Magufuli na Lìssu nani alimchukia mwingine? Nani asiyejua kuwa ni Magufuli aliyeatoa amri ya Lissu kuuwawa?
 
Mambo ya kijinga huwa yanaanza hivi hivi kiutani.

Kilichofanyika Chato na UVCCM kwa mtu asiyeona mbali, utafikiri ndio siasa zenyewe lakini mambo yanaweza kulipuka beyond control.

Siasa za vyama vingi zipo kisheria na sasa ni sehemu ya katiba yetu inayotawala.

Matamshi tuliyosikia kutoka Geita, eti kiongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu asikanyage Chato, ikifuatiwa na kuchoma moto gari la CHADEMA, lina hatarisha amani na siasa za Tanzania.

Hili haliashirii siasa za kistaarabu nchini. Rwanda mambo yalianza hivi hivi kwa chuki kuanza kutawala badala ya sera na ilani za chama husika.

CCM Taifa inabidi ilikemee hili na wahusika wachukuliwe hatua. Kutamka chuki na kuchoma magari moto haviwezi kuwa sera za CCM.

Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
Mkumbuke kumkumbusha Lissu juu ya umuhimu wa kufikiria kabla hajatenda chochote.

Alimtukana Nyerere ndani ya bunge la katiba. Alimtukana JPM akiwa kiongozi mkuu wa nchi miaka ile.

Amemtukana SSH majuzi baada ya kumjulia hali hospitali mwaka ule alipopatwa na matatizo, pamoja na kuhakikisha anamlipa pesa yote aliyokuwa anaidai serikali kuu, pamoja na kumhakikishia usalama wake akirudi nyumbani TZ.

Kabla hujanyooshea vidole hao watu wa umoja wa vijana wa CCM kumbuka pia kumnyooshea vidole huyo Lissu.

Kwenda kaburini alipozikwa JPM wakati uliwahi kumtusi akiwa rais ni kumkejeli hayati, japokuwa inaweza kuchukuliwa kuwa ni sehemu ya msamaha.
 
Mambo ya kijinga huwa yanaanza hivi hivi kiutani.

Kilichofanyika Chato na UVCCM kwa mtu asiyeona mbali, utafikiri ndio siasa zenyewe lakini mambo yanaweza kulipuka beyond control.

Siasa za vyama vingi zipo kisheria na sasa ni sehemu ya katiba yetu inayotawala.

Matamshi tuliyosikia kutoka Geita, eti kiongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu asikanyage Chato, ikifuatiwa na kuchoma moto gari la CHADEMA, lina hatarisha amani na siasa za Tanzania.

Hili haliashirii siasa za kistaarabu nchini. Rwanda mambo yalianza hivi hivi kwa chuki kuanza kutawala badala ya sera na ilani za chama husika.

CCM Taifa inabidi ilikemee hili na wahusika wachukuliwe hatua. Kutamka chuki na kuchoma magari moto haviwezi kuwa sera za CCM.

Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
Rais na chama chake wamefurahia tukio hilo.
Kuna mtu anapinga?

Umesikia karipio lolote?
 
Back
Top Bottom