Naona aibu kuzaliwa Mnyamwezi

Kwetu Tabora, Mkoa Mkubwa pengine kuliko wote nchi hii ndiko kunakoweza kuwa na watu waliolala kuliko mkoa wowote Tanzania.

Mkoa uliokuwa na shule muhimu kabisa katika nchi hii lakini mkoa uliotoa wasomi wachache ukilinganisha na idadi ya watu wake. Mkoa wenye asali na misitu asili, wenye tumbaku na mbegu ya ku ya iana ya kipekee duniani, moa wenye ng'ombe na mali asili nyingi, mkoa wenye watu warefu waliojaza misuli wake kwa waume lakini sina hakika sana na uwezo wa ubongo wetu.

Tabora isiyokuwa na barabara ya kutufikisha makao makuu ya mkoa kutoka popote pale duniani, mkoa wenye uwanja wa ndege wa matope. mkoa wenye mji wenye mtaa mmoja, mkoa ambao majumba yake yanazidi kwisha na kumongonyoka badala ya kushamiri. Mkoa ambao watu wake wanaogopa kujenga na hat akurudi kwao kwa kuogopa kulogwa.

Mkoa wa Tabora wenye wabunge wasiofanya lolote lakini wanoheshimiwa na kuabudiwa. Mbunge mmoja maarufu sana ana aliwahi kuwa na cheo kikubwa labda kidogo afadhali yeye maana akiendakwao huwanunulia wananchi wake maji madogo ya kilimanjaro, angalau wenye bahati hunywa maji ya kilimanjaro angalau mara moja kwa mwaka.

Hebua angalia wabunge wa bunge lilopita walifanya nini. Hebu Munagalie mnyamwezi yule aliyekuwa Igunga kabla hajajing'atua? Muangalia yule aliyekuwa bosi wa Bunge wamaifanyia nini tabora? Leo wanyamwezi eti wamemchagua mnyamwezi mwenzao muonesha bastola na almanusura nzega nao wamchague mnyamwezi mwezao yule mtoto wa kisomali lakini wakaishia kumchagua mnyamwezi mwenzao mrundi andrea.

Wanyamwezi bado hatujui mkoa wetu unaelekea wapi, hatuna elimu hatuna chochote. Mimi huwa najiuliza hao wanaosema wanyakyusa na wahaya walipata vyeo eti kwa kuwa mikoani kwao kulikuwa na shule kila siku huwa najiuliza kulikuwa na shule ngapi kushinda mkoa wa Tabora? Kagera nimefika na kuishi, Mbeya nimefika na kuishi lakini kila nikiangaza kulinganisha na Tabora sioni.

Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!
...Mh! Pole shemeji. unajua mi nimeoa wilaya ya Nzega kijiji cha Nkiniziwa kwa kweli hali ni mbaya sana ukilinganisha na ilivyotakiwa kuwa. Unajua wakati posa inapelekwa kule kijijini karibia Cresta yangu ibaki huko huko maana lile shimo la kutoka Nzega mpaka ufike kijijini na mvua imepiga sio mchezo lakini ndiyo hivyo dada yako ameninogea hakuna maelezo. nafikiri huu ni ujumbe mzuri kwa wakwe zangu Mzee 6 na Ka****ya wao ndio jua linazama historia itawahukumu kwa kutoinua mkoa wao. Yule anayetembea na kipaja cha kuku kiunoni achana nae wala usitegemee kuna atakachofanya Tabora. Tatizo siku hizi bwana shemeji majimbo yameingiliwa sana kwa hiyo hata hao walioamua kumchagua mnyamwezi mwenzao Igunga ni ufinyu wa kutofikiri tu lakini walitakiwa kufanya mabadiriko kwa kweli mambo ya kushikilia Magamba wanaidodesha wilaya ile. Pole shemeji kaza roho kaza buti safari inaendelea nimeongea na dada yako tutafute hata kakiwanja pale Ipuli tuweke kakibanda tukichoka na vurugu za humu mjini tunasogea kwenda kula embe Tobora!!!!!Haaaahaaaahaaahaaahaa!!!
 
Chief Domokaya pole,
Mimi kwetu ni Shinyanga lakini hatuko hivyo, leo ninaona aibu sana hata mood ya kazi imetoka, ninaingia kila chumba cha offisi kwa rafiki zangu na ninawauliza hivi kwa nini wana Igunga wamechagua CCM? Nijuavyo mimi hawana sababu hata moja ya kuchagua CCM! Inawezekana wanaridhika na maisha yaliyopo kwa kuwa maisha yao yote yako hivyo na hawajawahi kuwa na maendeleo. Siamini kama hao ni wasukuma waliopitisha hiyo chama tena!
Wasukuma tuna hulka moja,tukiamua jambo tumeamua,kama hatukutaki hatukutaki.
 
Kama wewe umelitambua hilo, umefanya juhudi gani kuwaelimisha na wenzako?. Mapinduzi huanza na mtu mmoja. Usiishie kulalamika tu, jaribu na kuwaelimisha wenzako. Pole sana.
 
du poleni sana huo ndo unafiki wetu, unalia njaa weeeee inapotea chakula unasema umeshiba kumbe wapi! ila pongezi kwa cdm,naiona hiyoooo 2015
 
Aibu ya nini sasa???????????/ why dont you respect heshima na mwamko wa mabadiliko mlioanza kupata kiasi cha kushusha kura za wezi kuanzia arobaini elfu na mpaka ishirini elfu na wakati huo huo kupiga zaidi ya kura ishirini elfu pia kwa CDM ikiwa ni mara yao ya kwanza?

Get proud bwana kwa kuwa hakika mnasogea karibu..........near or soon utanielewa and you will start to be proud again
 
Mzigo mzito mpe mnyamwezi...ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.wanyamwezi usafiri wa reli ya kati kama bangladesh na sasa afadhali wanadandia NBS na mabasi ya mwanza lakini tabora kama torabora
 
Wana jf, angalieni, Nzg, Dr. Kigwangala, Igunga, Dr. Kafumu, Igalula, Dr. Mfutakamba, na Urambo, Pr. Kapuya, inapendeza!
 
Mzigo mzito mpe mnyamwezi...ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.wanyamwezi usafiri wa reli ya kati kama bangladesh na sasa afadhali wanadandia NBS na mabasi ya mwanza lakini tabora kama torabora
Nimeipenda hii,mzigo mzito wenyewe ni C.C.M.
 
Kwetu Tabora, Mkoa Mkubwa pengine kuliko wote nchi hii ndiko kunakoweza kuwa na watu waliolala kuliko mkoa wowote Tanzania.

Mkoa uliokuwa na shule muhimu kabisa katika nchi hii lakini mkoa uliotoa wasomi wachache ukilinganisha na idadi ya watu wake. Mkoa wenye asali na misitu asili, wenye tumbaku na mbegu ya ku ya iana ya kipekee duniani, moa wenye ng'ombe na mali asili nyingi, mkoa wenye watu warefu waliojaza misuli wake kwa waume lakini sina hakika sana na uwezo wa ubongo wetu.

Tabora isiyokuwa na barabara ya kutufikisha makao makuu ya mkoa kutoka popote pale duniani, mkoa wenye uwanja wa ndege wa matope. mkoa wenye mji wenye mtaa mmoja, mkoa ambao majumba yake yanazidi kwisha na kumongonyoka badala ya kushamiri. Mkoa ambao watu wake wanaogopa kujenga na hat akurudi kwao kwa kuogopa kulogwa.

Mkoa wa Tabora wenye wabunge wasiofanya lolote lakini wanoheshimiwa na kuabudiwa. Mbunge mmoja maarufu sana ana aliwahi kuwa na cheo kikubwa labda kidogo afadhali yeye maana akiendakwao huwanunulia wananchi wake maji madogo ya kilimanjaro, angalau wenye bahati hunywa maji ya kilimanjaro angalau mara moja kwa mwaka.

Hebua angalia wabunge wa bunge lilopita walifanya nini. Hebu Munagalie mnyamwezi yule aliyekuwa Igunga kabla hajajing'atua? Muangalia yule aliyekuwa bosi wa Bunge wamaifanyia nini tabora? Leo wanyamwezi eti wamemchagua mnyamwezi mwenzao muonesha bastola na almanusura nzega nao wamchague mnyamwezi mwezao yule mtoto wa kisomali lakini wakaishia kumchagua mnyamwezi mwenzao mrundi andrea.

Wanyamwezi bado hatujui mkoa wetu unaelekea wapi, hatuna elimu hatuna chochote. Mimi huwa najiuliza hao wanaosema wanyakyusa na wahaya walipata vyeo eti kwa kuwa mikoani kwao kulikuwa na shule kila siku huwa najiuliza kulikuwa na shule ngapi kushinda mkoa wa Tabora? Kagera nimefika na kuishi, Mbeya nimefika na kuishi lakini kila nikiangaza kulinganisha na Tabora sioni.

Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!

lakini mkuu usijilaumu sana kama kweli kafumu kashinda na alikuwa na uchungu na igunga tunahitaji mabadiliko ya hapo igunga na sio kumlaumu kwa wizi..
pole sana kesho kutwa utazoea tu ndio maana mungu kaweka kitu kusahau..
 
du poleni sana huo ndo unafiki wetu, unalia njaa weeeee inapotea chakula unasema umeshiba kumbe wapi! ila pongezi kwa cdm,naiona hiyoooo 2015

chukua hii na kupa
Mzigo mzito mpe mnyamwezi...ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.wanyamwezi usafiri wa reli ya kati kama bangladesh na sasa afadhali wanadandia NBS na mabasi ya mwanza lakini tabora kama torabora by Inkoskaz
 
kuna demu wangu wa kinyamwezi yupo pale IFM mahusiano yangu kwake yapo pabaya kutokana na kile walichokifanya kaka,dada,wajomba,shan.gaz mama,baba na bibi zake kule igunga yan naami kinda la njiwa alitoki kichanganjani(tunduni) ni walewale tu
 
Kwetu Tabora, Mkoa Mkubwa pengine kuliko wote nchi hii ndiko kunakoweza kuwa na watu waliolala kuliko mkoa wowote Tanzania.

Mkoa uliokuwa na shule muhimu kabisa katika nchi hii lakini mkoa uliotoa wasomi wachache ukilinganisha na idadi ya watu wake. Mkoa wenye asali na misitu asili, wenye tumbaku na mbegu ya ku ya iana ya kipekee duniani, moa wenye ng'ombe na mali asili nyingi, mkoa wenye watu warefu waliojaza misuli wake kwa waume lakini sina hakika sana na uwezo wa ubongo wetu.

Tabora isiyokuwa na barabara ya kutufikisha makao makuu ya mkoa kutoka popote pale duniani, mkoa wenye uwanja wa ndege wa matope. mkoa wenye mji wenye mtaa mmoja, mkoa ambao majumba yake yanazidi kwisha na kumongonyoka badala ya kushamiri. Mkoa ambao watu wake wanaogopa kujenga na hat akurudi kwao kwa kuogopa kulogwa.

Mkoa wa Tabora wenye wabunge wasiofanya lolote lakini wanoheshimiwa na kuabudiwa. Mbunge mmoja maarufu sana ana aliwahi kuwa na cheo kikubwa labda kidogo afadhali yeye maana akiendakwao huwanunulia wananchi wake maji madogo ya kilimanjaro, angalau wenye bahati hunywa maji ya kilimanjaro angalau mara moja kwa mwaka.

Hebua angalia wabunge wa bunge lilopita walifanya nini. Hebu Munagalie mnyamwezi yule aliyekuwa Igunga kabla hajajing'atua? Muangalia yule aliyekuwa bosi wa Bunge wamaifanyia nini tabora? Leo wanyamwezi eti wamemchagua mnyamwezi mwenzao muonesha bastola na almanusura nzega nao wamchague mnyamwezi mwezao yule mtoto wa kisomali lakini wakaishia kumchagua mnyamwezi mwenzao mrundi andrea.

Wanyamwezi bado hatujui mkoa wetu unaelekea wapi, hatuna elimu hatuna chochote. Mimi huwa najiuliza hao wanaosema wanyakyusa na wahaya walipata vyeo eti kwa kuwa mikoani kwao kulikuwa na shule kila siku huwa najiuliza kulikuwa na shule ngapi kushinda mkoa wa Tabora? Kagera nimefika na kuishi, Mbeya nimefika na kuishi lakini kila nikiangaza kulinganisha na Tabora sioni.

Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!

Pole sana Domokaya mi mwenyewe sina raha kabisa siku ya leo,na nimesikitika sana kwa nini Wanyamwezi wameipa kura CCM?Inamaana Wanyamwezi hawajui kuchanganua mambo?Je ni lipi jema walilofanyiwa na CCM?Wanyamwezi Wanyamwezi ayah jamani.
 
Mimi sioni aibu kuwa Mnyamwezi!

Eeh huko Dar mbona magamba yamejaa au nako wanyamwezi wamejaa?
 
kuna demu wangu wa kinyamwezi yupo pale IFM mahusiano yangu kwake yapo pabaya kutokana na kile walichokifanya kaka,dada,wajomba,shan.gaz mama,baba na bibi zake kule igunga yan naami kinda la njiwa alitoki kichanganjani(tunduni) ni walewale tu

Wewe; ukibahatika kuoa mwanamke wa kinyamwezi umevumbua dhahabu! Kwanza niambie wewe Kabila gani ili nimshauri Mdogo wangu!
 
Pole sana Domokaya mi mwenyewe sina raha kabisa siku ya leo,na nimesikitika sana kwa nini Wanyamwezi wameipa kura CCM?Inamaana Wanyamwezi hawajui kuchanganua mambo?Je ni lipi jema walilofanyiwa na CCM?Wanyamwezi Wanyamwezi ayah jamani.

Wasukuma ni zaidi ya asilimia 80 ya wote wanaojiita wanyamwezi wa igunga! Nzenga ni zaidi ya nusu ni wasukuma! Wanyamwezi wa ukwelii wako Sikonge na vijiji vya Tabora na urambo though urambo kuna mix ya waha na Watusi!
 
Kama kuna mkoa ambao naushangaa ni Tabora hakuna barabara ya lami inayounganisha na makao makuu ya mkoa,miundombinu ya mawasiliano mibovu,madaraja mabovu,shule na huduma za Afya huwezi amini kama kuna binadamu anapata huduma hapo,ndio mkoa aliosoma Nyerere,wabunge wake wengi ni wasomi dr kigwangala,DR KAFUMU ,profesa kapuya, samweli sita,wanyamwezi wa Tabora kuliköni mbona mmezubaa hivyo,MAMA YANGU alikataa kata dada yangu kuolewa na mtu wa Tabora,kwani alisoma Tabora girls so anajuwa wanaume na wanawake wa Tabora walivyo wavivu kufikiri! POLENI TABORA na CCM YENU mna marafiki zenu Dodoma!
 
Back
Top Bottom