ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,571
- 44,792
Game tafu sana Wakuu ikabidi nikumbuke nina kachenji uchafu kalibaki CRDB, ndio kwenda kuhakikisha balance nikaambiwa kuna 15800 sasa kibaya sina card ya ATM, ilipotea na hata sim banking line niliyosajilia siitumii ilipotea kwa hiyo option hapa ni kutoa kwa kutumia card ya NIDA kwa teller.
Nimejaza mpaka form ya kutoa ila naona nishai kwa sababu teller ni mrembo, nashindwa kwenda kifua mbele bila wasiwasi kutoa pesa yangu nikadake smart na ka mo energy.
Nimejaza mpaka form ya kutoa ila naona nishai kwa sababu teller ni mrembo, nashindwa kwenda kifua mbele bila wasiwasi kutoa pesa yangu nikadake smart na ka mo energy.