green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Sasa unavyoulizia mwamko kielimu hata mtu kutoka Katoro au Jinja anajua sifa za bagamoyoMm nimeuliza tu kuuliza si ujinga
Sasa unavyoulizia mwamko kielimu hata mtu kutoka Katoro au Jinja anajua sifa za bagamoyoMm nimeuliza tu kuuliza si ujinga
Mkuu mm nilifika bagamoyo sema ilikuwa kwenye maonyesho ya sanaa pale Tasuba sikuweza kuzunguka kwa sana ila nilivutiwa sana na mazingira ya stone town natamani sana nirudi tena nifanye utalii wa ndani mkuu we ni mwenyeji wa huko?Hapo ni stone town, uswahili upo lakini sio kiviile kutokana na muingiliano na wageni. Kuna maeo ya uswazi Kama mwembe yanga, magomeni, majicoast n.k huko ni hatari tupu.
Tufaamiane aiseeKaribu mkuu Bwagamoyo Niko hapa Empire sports bar Ukuni nakula supu
TutafutaneWikiendi nakuja bagamoyo kupunga upepo ntakutafuta uje tule bia mbili
PATAMU kila kona unakuta watu wa sanaa wale wanachora picha kuna hotel moja ,matat na hapa hosiptali pembeni kuna jengo moja jeupe isjui ni msikiti au hotel liko poa sanaHapo ni stone town, uswahili upo lakini sio kiviile kutokana na muingiliano na wageni. Kuna maeo ya uswazi Kama mwembe yanga, magomeni, majicoast n.k huko ni hatari tupu.
Hata mimi nilifika hivi karibuni, nilipaona pako poa.......ingawa mambo mengi siyajui kiundani, labda wajuvi waje....🤣🤣🤣🤣Bagomoyo nilipadharau ila kufika nimeona kuna maendeleo hotels za maana duh we acha izo lodges kibao za hazi ya kiwango
Inaonekana kuna kupigana kwenye mambo ya mashamba na viwanja kinamna.......ni kujitahidi kuwa mwangalifu tu.We sema unataka shamba au kiwanja ila unaogopa kupigwa usizunguke.
Mm simwenyeji Sana, ni mgeni pia... Kama unakumbuka enzi za jakaya mwishoni na ule mradi wa bandari bagamoyo, Mshua alikua ni miongoni mwa walioenda kununua viwanja, mradi ulipobuma akaamua kujenga. Sasa kwa maana hiyo nilibahatika kukaa Kama mwaka 1 hivi, so Nayajua maeneo mengi Sana ila sio yote.Mkuu mm nilifika bagamoyo sema ilikuwa kwenye maonyesho ya sanaa pale Tasuba sikuweza kuzunguka kwa sana ila nilivutiwa sana na mazingira ya stone town natamani sana nirudi tena nifanye utalii wa ndani mkuu we ni mwenyeji wa huko?
Ni kweli usipokuwa mwangalifu ukienda kichwakichwa unalizwa tu.Inaonekana kuna kupigana kwenye mambo ya mashamba na viwanja kinamna.......ni kujitahidi kuwa mwangalifu tu.
Kajengea wapi mshua?Mm simwenyeji Sana, ni mgeni pia... Kama unakumbuka enzi za jakaya mwishoni na ule mradi wa bandari bagamoyo, Mshua alikua ni miongoni mwa walioenda kununua viwanja, mradi ulipobuma akaamua kujenga. Sasa kwa maana hiyo nilibahatika kukaa Kama mwaka 1 hivi, so Nayajua maeneo mengi Sana ila sio yote.
Soko la mwembe yanga hapo...Kajengea wapi mshua?
Karibu na msikiti wa majani mapana.Soko la mwembe yanga hapo...
Happy hapo mkuu, ww utakua unaishi huko nn ? Ni Hapo msikiti wa majani mapana, Kuna nyumba in Fensi na tenki jeusi juuKaribu na msikiti wa majani mapana.
Au mkabala na kwa bonanga?
Aah nipo huku mkuu.Happy hapo mkuu, ww utakua unaishi huko nn ? Ni Hapo msikiti wa majani mapana, Kuna nyumba in Fensi na tenki jeusi juu
Pamoja man huwenda tunafahamianaAah nipo huku mkuu.
Yote mitaa yangu hiyo.
Sure hiyo nyumba uloniambia ni kama kwa mama leila?Pamoja man huwenda tunafahamiana
Sinfahamu huyo ila kwa Sasa Kuna wanafunzi wa chuo, nyumba inamadirisha ya vioo na frame 2 mbele Moja haina getiSure hiyo nyumba uloniambia ni kama kwa mama leila?
Asee hz ID zinatufanya tusifahamiane kabisa na unaweza kuta jamaa ni mwana tuu na kila siku mpo nae mtaa mmoja lakin ndio hvyo hamfahamiani 😁Aah nipo huku mkuu.
Yote mitaa yangu hiyo.