Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Hajaoa bado hapo lakini ila huyo aliezaa nae ndie mke wake halali ila tamaa za huyo mwanamke mwingine ambae kiuhalisia amepangwa awe mchepuko wake yeye analazimisha amfanye awe mke wake, mwelekezeni vizuri huyu kijana kabla hajapotea kusikojulikana maana mtaka 2 na 7 hupatwa na mingi misiba, wewe unatakaje 2 halafu hapo hapo unataka 7?
Mwanamke wake wa kwanza, ndio mke wake! Alizingua kuanza mahusiano mengine ambayo hakuwa committed anamuonea huruma mwenye mtoto, anamuonea huruma aliyeishi naye miaka mi3 deep down anawataka wote! Yani kachanganyikiwa!

Asifanye maamuzi kwa sasa atulie tu..
 
Nimemuelewa, yeye achekeche tu kwanza bwana kwanini alienda kugawa mbegu na anafaham kuna mtu kampotezea muda miaka mi3
Huku alipomwaga kukajibu ndio alikokusudiwa kuwepo miaka 3 sio Kesi watu wanaenda mpaka miaka 7 hadi 8 na mtu anajivua anaenda kwa mwingine nini miaka 3?
 
Mwanamke wake wa kwanza, ndio mke wake! Alizingua kuanza mahusiano mengine ambayo hakuwa committed anamuonea huruma mwenye mtoto, anamuonea huruma aliyeishi naye miaka mi3 deep down anawataka wote! Yani kachanganyikiwa!

Asifanye maamuzi kwa sasa atulie tu..
Damu ni NZITO kuliko MANII, mtoto sio nguo

Anachotakiwa kufanya ni kurejea kule alipofanya maamuzi ya mwisho, wewe miaka 3 hata mimba hakuna huku umepiga mwezi tu mimba hii hapa kitu kimejibu fasta pita huku oya mimi ngoja nipite hivi
 
Huku alipomwaga kukajibu ndio alikokusudiwa kuwepo miaka 3 sio Kesi watu wanaenda mpaka miaka 7 hadi 8 na mtu anajivua anaenda kwa mwingine nini miaka 3?
Wanaoa mpaka wa miezi miwili! Ila kuna siku wanaume mtakutwa na jambo endeeleni na huu mchezo.. ntapiga kipapai mtoto wa mtu😂😂
 
Wanaoa mpaka wa miezi miwili! Ila kuna siku wanaume mtakutwa na jambo endeeleni na huu mchezo.. ntapiga kipapai mtoto wa mtu😂😂
Hahaha kipapai tena ili iweje tena hicho kipapai kinakuaje labda?
 
Mtoto sio andazi kwamba atakula litaisha! Dahh sema awe makini sio unamchukua baby mama kumbe ana husiano lake huko nje atazirai! Mara mtoto sio wake🙆🏽‍♀️
Punguza kumtisha si ana uhakika yeye ndie aliesababisha sasa uoga wa nini tena hapo? Aoe aliemtia mimba apunguze idadi ya single mother au alitumwa amtie mimba ili amfanye awe single mother km hakua na malengo ya kumuoa?
 
Punguza kumtisha si ana uhakika yeye ndie aliesababisha sasa uoga wa nini tena hapo? Aoe aliemtia mimba apunguze idadi ya single mother au alitumwa amtie mimba ili amfanye awe single mother km hakua na malengo ya kumuoa?
Amuoe tuu..
 
Amuoe tuu..
Ndio mtoto wa watu asije kuishia kufanywa single mother huku kuna li-opportunist limoja linakula matunda ya mti aliouhangakia na kuukatikia mauno kwa tabu ya maumivu ya mgongo muda wa miezi 9
 
Mmoja ni mzuri kuliko mwingine huyo aliezaa unaona kama kachoka hivi upo na huyu wa Mby nae akizaa atakua kama huyo wa Bukoba..
Mwanamke chagua mwenyewe hakuna mtu anachaguliwa mke bora wa kuoa..
Wasizwa wanakupa ushauri wa piga chini wote usioe daah..
 
Ulikosea sana kuigiza mapenzi kwa huyo Mwanamke mpaka kumzalisha,

The biggest coward is a Man who awakens a Woman's love with no intention of loving her,

Huyo unayetaka kumuoa,amesema amekusamehe kwa kuzaa na Mwanamke mwingine,tambua kua hajakusamehe,wanawake hua hawasahau ukiwatenda,na hilo tukio ndio litatumika kama fimbo ya kukuchapia huko mbeleni,utaiona Dunia chungu,huyo anayesema amekusamehe ni wa hatari zaidi kuliko huyo uliyemzalisha,

Kwa sasa endelea kumuhudumia Mwanao na Mama yake,unamzalisha Mwanamke kisha unaenda kuoa mwingine,what a shame!

Fuata ushauri wa comment 2# ya aise
 
Kwakua bado una nafasi, oa mwanamke mwenye mtoto wako usije ukajutia badae maana hakuna mwanamke anapenda kuona mume wake ana hudumia mtoto wa nje. Hata ukisema umchukue mtoto ukae nae bado utakua hujamaliza shida.

Maugomvi hayataisha ndani, mshukuru Mungu kwakua bado una nafasi ya kuyaepuka.
 
Kwakua bado una nafasi, oa mwanamke mwenye mtoto wako usije ukajutia badae maana hakuna mwanamke anapenda kuona mume wake ana hudumia mtoto wa nje. Hata ukisema umchukue mtoto ukae nae bado utakua hujamaliza shida.

Maugomvi hayataisha ndani, mshukuru Mungu kwakua bado una nafasi ya kuyaepuka.
Shida ni kupenda matako hujamwelewa tu aliposema kwamba huyo mwanamke ana akili ya maisha na huyu niliemtia mbami hana future, hio ni Code
 
Japo sikuwa na malengo naye kwa bahati mbaya au nzuri akashika ujauzito, ila kipindi hicho hicho nikarudiana na mpenzi wangu ambaye ninampango wa kumuoa,kutokana na umri kuwa umesogea na sina mtoto nikakubali uyo mwanamke azae ili nimtunze mtoto atakayezaliwa.

Mwamba ana mtihan.

Ila kwa sasa asifanye haraka. Na Asitishe ndoa kwa muda huku akiendelea kutafakar. Atagundua meng zaid.

Ila kukutana na mwanamke na ndan ya mwaka 1 na umzalishe alaf unalazimishwa kumuoa nalo ni gumu sana kwa mwanaume.
Alaf Hana future una maana gan? Scott junior
 
Back
Top Bottom