Barnaba Fumbo
Member
- Nov 17, 2023
- 13
- 16
Kuna mdogo wangu alisoma PCB form six akafaulu kwa div one.
Aliomba chuo mwaka jana course za afya lakini hakufanikiwa akadai ataenda chuo mwaka huu 2024/2025.
Mwaka huu anasema anataka akasome course moja wapo kati ya hizi.
1. Bachelor of Computer science
2. Bachelor of Chemistry
3. Bachelor of Logistics and Transport
4. Bachelor of Physiotherapy
Je ni ipi course nzuri kati ya hizo?
Natanguliza Shukrani kwenu wana JF NAOMBENI ushirikiano
Aliomba chuo mwaka jana course za afya lakini hakufanikiwa akadai ataenda chuo mwaka huu 2024/2025.
Mwaka huu anasema anataka akasome course moja wapo kati ya hizi.
1. Bachelor of Computer science
2. Bachelor of Chemistry
3. Bachelor of Logistics and Transport
4. Bachelor of Physiotherapy
Je ni ipi course nzuri kati ya hizo?
Natanguliza Shukrani kwenu wana JF NAOMBENI ushirikiano