ShukranWakati na mimi kipindi hicho naenda chuo nilikuwa na mawazo kama yako, ushauri wangu nenda kakae hostel za chuo na wenzako huko mtaani unapotaka kwenda kupanga kutakupotezea sana hela na muda wako, na usipokuwa makini unaweza ukajuta sana.
Umeona takwimu za afya za wanachuo ??
Mweka ndio kipo wapi mkuuNasoma chuo Cha mweka
Kwa mwaka wa kwanza kaa hostel ujenge urafiki na masomo bila kash kash nyingine za maisha. Pia inakusaidia kunetwork vizuri na wanafunzi wenzako.Wanajukwaa poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu. Husika na kichwa hapo juu mimi ni mwanafunzi wa bachelor mwaka wa kwanza katika mwaka wa masomo 2023/2024 naombeni Ushauri wenu kati ya kukaa hostel au kupanga mtaani kipi Bora. Naomba kuwasilisha
Huko panga tu maana sidhan kama gharama za kupanga ni kubwa, baridi nayo n sababu nyingine bora upange.Mweka ndio kipo wapi mkuu
Ndo Maana mm Mademu wa Chuo n kama mbingu na Ardhi.Lo lote utakaloamua, angalia tu usije ukaondoka na UKIMWI mdogo wangu. Fanya kilichokupeleka chuoni. Kila la heri 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
View attachment 2803783
Kama niapo mweka college of wildlife... panga chumba mtaani... kama uko tayr nkukonnet na dalali upate ghettoNasoma chuo Cha mweka
Usifuate makundi ,mimi nimekaa miaka yote mwanzo mwisho getto la kupanga na msela kwa sabbu chuo chetu hapana hostel za kutosha zipo chache hta kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanapata 50% tu....Kama umefuata kusoma kaa hostel safi na usalama kama upo uhakika tulia .Nashukuru Kwa ushauri wako
Kashasema ni Moshi- MWEKA.Kitu kikubwa kuliko vyote kaa mbali na Wanawake
Kaa mbali na marafiki wa pombe ,bangi,mademu hakikisha unazingatia kilichokupeleka chuo ni KUSOMA
Kama ni iringa unaweza kaa gheto maana gharama sio kubwa then ukajenga urafiki na watu smart ili uyaelewe Maisha vizuri.
Shukran mkuu. Lakin chuo kipo moshi MWEKAKitu kikubwa kuliko vyote kaa mbali na Wanawake
Kaa mbali na marafiki wa pombe ,bangi,mademu hakikisha unazingatia kilichokupeleka chuo ni KUSOMA
Kama ni iringa unaweza kaa gheto maana gharama sio kubwa then ukajenga urafiki na watu smart ili uyaelewe Maisha vizuri.