Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020. Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je? Kati ya Bachelor in Information Technology na Bachelor in Marketing ipi inauwanja mpana katika kujiajiri hapa Bongo?.