Naombeni ushauri wenu wadau wa IT

Naombeni ushauri wenu wadau wa IT

Mshale the One

New Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Habarini ndugu zangu,

Naombeni ushauri Mimi ni mwalimu by professional level ya diploma.

Nipo interested sana na masuala ya IT hivyo natamani hata future yangu nije nijiendeleze kwenye IT.

Kwa kuanza nimeandaa mpangokazi wa miezi 24 ili unisaidie nijifunze mwenyewe online ili baadae nikiwa vizuri nije niende chuo kusoma degree ya IT.

Naombeni ushauri wenu viongozi katika namna positive kabisa ili nipate pa kuanzia.

Ratiba nimeandaa kwa msaada wa AI
 

Attachments

Habarini ndugu zangu,

Naombeni ushauri Mimi ni mwalimu by professional level ya diploma.

Nipo interested sana na masuala ya IT hivyo natamani hata future yangu nije nijiendeleze kwenye IT.

Kwa kuanza nimeandaa mpangokazi wa miezi 24 ili unisaidie nijifunze mwenyewe online ili baadae nikiwa vizuri nije niende chuo kusoma degree ya IT.

Naombeni ushauri wenu viongozi katika namna positive kabisa ili nipate pa kuanzia.

Ratiba nimeandaa kwa msaada wa AI
Kila jambo linawezekana, kila la kheri
 
IT ya kuinstall windows au kuflash simu.

Ukitaka kusoma uwe kweli nenda nchi ambazo teknolojia kila siku azishindani na akili ya muriro na AI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom