we unadhani anaposema basi imetosha anasema kwa raha? Anaumia sana hasa akikumbuka alivyomlea huyo mme wake na familia yake km watoto hlf yy anamdharau anaenda kufanya uasherati, KM NINGEKUA MIMI NINGEMTWANGA TALAKA AENDE AKAPUNZIKE KWAO AJIFUNZE JINS YA KUISHI KWA UAMINIFU km atajirekebisha arudi km hawezi asirushe mguu kwangu. UKIMWI UNAUA ACHUKUE TAHADHARI
we unadhani anaposema basi imetosha anasema kwa raha? Anaumia sana hasa akikumbuka alivyomlea huyo mme wake na familia yake km watoto hlf yy anamdharau anaenda kufanya uasherati, KM NINGEKUA MIMI NINGEMTWANGA TALAKA AENDE AKAPUNZIKE KWAO AJIFUNZE JINS YA KUISHI KWA UAMINIFU km atajirekebisha arudi km hawezi asirushe mguu kwangu. UKIMWI UNAUA ACHUKUE TAHADHARI
Embu rekebisha kauli yako daa angel sio ungemtwanga talaka ungeomba talaka na ni hiyari yake akupe au asikupe kama mimi ningekuwa mume wa huyo mdada nisingetoa talaka kwasababu hana udhibitisho kama nimetoka nje ya ndoa hii ndio tabu ya kuoa mwanamke aliekuzid kipato unakuwa hauna sauti kabisa ndani ya nyumba
Kwanza poleni na msiba wanajamii wenzangu.
Leo nina neno hapa linahitaji msaada wenu maana naona dada yangu naona anataka kutoa maamuzi magumu.
Ameolewa miaka karibia saba iliyopita na amekua akimpenda sana mumewe katika hali zote, Japo mwanaume hana uwezo amekua akimsaidia sana na kulificha hilon hata kuisaidia familia ya mwanaume na yakwake ili kujenga heshma ya mumewe na familia yake kama mwanamke mwenye hekima.
Kipato cha mwanaume ni kidogo sana hawezi hata kulipa ada za watoto achilia mbali chakula cha mwezi mzima ila dada yeye kwake hilo halikua tatizo kwani alkua na imani siku moja watafika wanakotaka,
Sasa hii leo amegundua kwamba mumewe huyo ana do nje ya ndoa kwa sana...... na kati ya wanawake anaoendeleza nao game na ma girlfriends zake wa zamani akiwa na uthibitisho wamekua wakifanya hayo tangu 2005 hadi sasa na uthibitisho anao.
Hana hasira na wala hajachanganyikiwa sana kwa hilo ila anasema tu basi imetosha...., basi imetosha..... basi imetosha........
Wenzangu wazoefu wa haya mambo nisaidieni ushauri gani nimpe? kuvunja ndoa ni kazi kubwa sana lakini kufanya mjinga miaka karibia saba pia inauma mno haswa ukiangalia walikotoka.
Shukrani
Kwa vyovyote utakavyofanya wewe hautokuwa umevunja ndoa! Ndoa kaivunja huyo bwana asiyejua maana ya ndoa ama kujiona kwamba yeye ni mwerevu!! haoneshi kuwa ana shukrani kwa mtindo wa aina yoyote hapo! mkimbize dada yako kupima kisha mwache aamue mwenyewe kipi ni bora katika maisha yake! Usijaribu kumwambia kwamba atoke kwenye ndoa, hilo mwachie mwenyewe. ila angalia pia usimzuie maamuzi yake kwa sababu ukifanya hivyo na kesho akipata ugonjwa unadhani ataanza kumlaumu nani?? Ongea na nduguyo na myakabili kwamba yaliyopo si mazuri nini kifanyike uamuzi ni wake but support her for whatever she decides! Damu ni nzito kuliko maji. mchana mwema
Embu rekebisha kauli yako daa angel sio ungemtwanga talaka ungeomba talaka na ni hiyari yake akupe au asikupe kama mimi ningekuwa mume wa huyo mdada nisingetoa talaka kwasababu hana udhibitisho kama nimetoka nje ya ndoa hii ndio tabu ya kuoa mwanamke aliekuzid kipato unakuwa hauna sauti kabisa ndani ya nyumba
Dah,...
mwambie achukue likizo fupi for sometime aondoke hapo
ili apate mda wa kutafakari vizuri.
Sijui nimshauri nini kwa sasa,akili yangu kama iko likizo hivi toka jana.
AshaDii unaweza kupredict majibu (hypothesis), kama leo tukiafanya research ya kuangalia ni wanandoa wangapi wanaishi kwa sababu wanapenda na wanahitajiana na ni wangapi wanaishi kwa sababu tu wananhitajiana ila hawapendani? Can you predict the proportion? And why?
ni kweli Angela inauma sana,
asante kwa ushauri