mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #41
asante mwali,
doctorz nashukuru kwa ushauri,
nkawa hawa watu wamekua wakiishi vizuri sana naweza kusema hata wewe ungebahatika kuwa nao karibu ungeitamani ndoa.....
mkulasabo kama nilivyoelezea walkua wakiheshimiana na kupendana mno yaani hata haya mengine ndo nimeyajua leo japo huyu ni dada yangu sikuwahi jua maisha yao ya ndani kwa kweli////////
sasa kujulikana huku ndo kumechafua hali ya hewa
doctorz nashukuru kwa ushauri,
nkawa hawa watu wamekua wakiishi vizuri sana naweza kusema hata wewe ungebahatika kuwa nao karibu ungeitamani ndoa.....
mkulasabo kama nilivyoelezea walkua wakiheshimiana na kupendana mno yaani hata haya mengine ndo nimeyajua leo japo huyu ni dada yangu sikuwahi jua maisha yao ya ndani kwa kweli////////
sasa kujulikana huku ndo kumechafua hali ya hewa