Naombeni ushauri wandugu

wana mtoto mmoja wa kuzaa na mwingine wa ndugu ambaye ni yatima ila wanalingana kiumri na wote wanaishi nao.

hapa sister haongei kitu zaidi ya imetosha, na huyo bwana amesafiri jana tu

na pia hataki kumwuuliza maana anasema kuuliza si utatuzi maana kwa mtu mwenye akili anajua alkua anayafanya hayo kwa sababu gani! yeye anasem tu imetosha

Pole sana mama D, ila nahisi huyo mwanaume anapata hela ya kutosha ila sababu inagawanywa familia mbili tofauti na ndio maana inaonekana haitoshi.
Mwambie dadako asitishe misaada kwenye familia ya huyo mwanaume na ajijenge kimaisha vizuri, pia ahakikishe watoto wake wanasoma vizuri bila ya shida.
Haina haja ya kuongea tena na mumewe kuhusu hilo jambo kwani amesalitiwa muda mrefu sana na amejiona ni haki yake kuendelea kumsaliti dadako.
Mwisho aanze maisha kivyake yaani aachane na huyo mwanaume kwani siku hizi magonjwa ni mengi sana.
 
mpe pole mwambie asamehe saba mara sabini
kutenda kosa si kosa,kosa kurudia kosa
 
Pole sana mama D, ila nahisi huyo mwanaume anapata hela ya kutosha ila sababu inagawanywa familia mbili tofauti na ndio maana inaonekana haitoshi.
Mwambie dadako asitishe misaada kwenye familia ya huyo mwanaume na ajijenge kimaisha vizuri, pia ahakikishe watoto wake wanasoma vizuri bila ya shida.
Haina haja ya kuongea tena na mumewe kuhusu hilo jambo kwani amesalitiwa muda mrefu sana na amejiona ni haki yake kuendelea kumsaliti dadako.
Mwisho aanze maisha kivyake yaani aachane na huyo mwanaume kwani siku hizi magonjwa ni mengi sana.



asante evarm
kweli magonjwa ni mengi.....anaweza kumsamehe sawa lakini magonjwa je??
 
mpe pole mwambie asamehe saba mara sabini
kutenda kosa si kosa,kosa kurudia kosa
kwa hiyo wewe mheshimiwa chapaaa mpenzi wako akizini mara mia mbili natisini na moja ndio utachukua HATUA??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom