mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Kwanza poleni na msiba wanajamii wenzangu.
Leo nina neno hapa linahitaji msaada wenu maana naona dada yangu naona anataka kutoa maamuzi magumu.
Ameolewa miaka karibia saba iliyopita na amekua akimpenda sana mumewe katika hali zote, Japo mwanaume hana uwezo amekua akimsaidia sana na kulificha hilon hata kuisaidia familia ya mwanaume na yakwake ili kujenga heshma ya mumewe na familia yake kama mwanamke mwenye hekima.
Kipato cha mwanaume ni kidogo sana hawezi hata kulipa ada za watoto achilia mbali chakula cha mwezi mzima ila dada yeye kwake hilo halikua tatizo kwani alkua na imani siku moja watafika wanakotaka,
Sasa hii leo amegundua kwamba mumewe huyo ana do nje ya ndoa kwa sana...... na kati ya wanawake anaoendeleza nao game na ma girlfriends zake wa zamani akiwa na uthibitisho wamekua wakifanya hayo tangu 2005 hadi sasa na uthibitisho anao.
Hana hasira na wala hajachanganyikiwa sana kwa hilo ila anasema tu basi imetosha...., basi imetosha..... basi imetosha........
Wenzangu wazoefu wa haya mambo nisaidieni ushauri gani nimpe? kuvunja ndoa ni kazi kubwa sana lakini kufanya mjinga miaka karibia saba pia inauma mno haswa ukiangalia walikotoka.
Shukrani
Leo nina neno hapa linahitaji msaada wenu maana naona dada yangu naona anataka kutoa maamuzi magumu.
Ameolewa miaka karibia saba iliyopita na amekua akimpenda sana mumewe katika hali zote, Japo mwanaume hana uwezo amekua akimsaidia sana na kulificha hilon hata kuisaidia familia ya mwanaume na yakwake ili kujenga heshma ya mumewe na familia yake kama mwanamke mwenye hekima.
Kipato cha mwanaume ni kidogo sana hawezi hata kulipa ada za watoto achilia mbali chakula cha mwezi mzima ila dada yeye kwake hilo halikua tatizo kwani alkua na imani siku moja watafika wanakotaka,
Sasa hii leo amegundua kwamba mumewe huyo ana do nje ya ndoa kwa sana...... na kati ya wanawake anaoendeleza nao game na ma girlfriends zake wa zamani akiwa na uthibitisho wamekua wakifanya hayo tangu 2005 hadi sasa na uthibitisho anao.
Hana hasira na wala hajachanganyikiwa sana kwa hilo ila anasema tu basi imetosha...., basi imetosha..... basi imetosha........
Wenzangu wazoefu wa haya mambo nisaidieni ushauri gani nimpe? kuvunja ndoa ni kazi kubwa sana lakini kufanya mjinga miaka karibia saba pia inauma mno haswa ukiangalia walikotoka.
Shukrani