- Thread starter
- #121
kwangu wanaJF ni marafiki kama ulivyotaja hapo......kwahiyo hatujawakosa na ndo maana nimekuja huku, hata hivyo niliweka wazi tu katika maelezo yangu labda hukusoma vizuri tu!Kwahiyo mmekosa Marafiki,ndugu,wazazi,mshenga ndo mkaja huku?
Kuna baadhi ya mambo mtu anayaleta hapa mpaka unajiuliza uanaume wake kama uko sawa sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app