Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
mwanaume una kata tamaa siyo vizuri be strong you never know tulia kwanza huwezi jua Mungu ana kuepushia nini
wana jamvi mimi ni kijana nina 27 yrs, tatizo langu ni kwamba nilikuwa na girlfriend wangu ambaye tulipendana saana!!
Mpenzi wangu huyu nilikutana naye kipindi nikiwa nahitimu chuo mwaka 2011, sio siri nilimpenda na nilimuona kila kitu kwangu kwa ukweli hata yeye anajua nilimpenda naye pia!
baadhi ya ndugu zangu walimfahamu na pia ndugu zake walinifahamu!!!
kila mmoja wetu alipopata shida tulisaidiana!!! tulikuwa tukitembeleana mara kwa mara kwani yeye alikuwa iringa na mimi dar!!! mwanzoni mwa mwaka Jana nilisafiri kuja mikoa ya kanda ya ziwa!! hivyo tukawa mbali mbali zaidi kuliko ilivyokuwa awali! Tulipanga Dec mwaka Jana tungeenda kutambulishana lakini nikashindwa kwenda kutokana na majukumu niliyonayo huku nilipo! ulizuka ugomvi mkubwa! mpenzi wangu yule alinikatia mawasiliano!
hapo nilijitahidi saana kutafuta suluhu lakini nilishindwa. mwisho ikawa ni january mwishoni mwaka huu akaniambia nitafite mwanamke mwingine! alijaribu kunihesabia yale tuliyotofautiana toka tunaanza mahusiano! nilihuzunika saana toka hapo hapokei simu wala kujibu msg zangu. najihisi kuchanganyikiwa sielewi nifanye nini, nimekata tamaa ya maisha! naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kisaikolojia ani-pm
Long distance relationship SUCKS
Kwani una umri gani? Na huyo mwenzako yupo darasa la ngapi?
Maana sitaki kuamini Mwanaume uliekamilika waweza kata tamaa yamaisha eti kwasababu umeachwa! Sasa maisha yakiwa magum itakuwaje? Sindio mwanzo wakuchanganyikiwa au kujitundika!
Au labda upo adolescent period? Maana tunaweza tukawa tunajadili swala kumbe ndo unauacha utoto' na hauskii wala haumbiwi juu ya huyo mwanamke!
Dada yangu wanawake katika mia unaweza kupata wawil wenye true love
Wanasema kabisa bora nife mapema kwa kua na maisha mazuri kuliko kufa kikongwe na maisha magumu
Wanawake ndo mnatufanya tuibe na kufingwa jela ili kuwalidhisha
Mf kajala masanja
Unaendeleaje mwanamke uliyebarikiwa.vip Yale maspirit ya kujiisi kufa hope yameshakuaacha?
Kwani una umri gani?
basi mie niko kwenye hao wawili
what matters to me is IF YOU TRULY LOVE ME
Yamepungua kidogo naendelea kufata ushauri wa wadau[/QUOTE
Yap utayashinda yote.jina uliyojichagulia linamana sana.yaan unaishi dunian kama mbingun.train to think like heaven.its is matter of choice.think of us who loves u even though we don't know u.I mic u
Ni kweli kabisa my Dada
but naomba nikuulize swali if u don't mind
Fell free to ask me........
Mpaka sasa hv umeshare bed na how many boys??
2.
Why did u ask.......
Gud, and should I knw y two boys!! Maana swali langu linakuja!!!
so u want me to add some more!!!
btw why are u asking