Naombeni ushauri tafadhali

Naombeni ushauri tafadhali

mwanaume una kata tamaa siyo vizuri be strong you never know tulia kwanza huwezi jua Mungu ana kuepushia nini
 
wana jamvi mimi ni kijana nina 27 yrs, tatizo langu ni kwamba nilikuwa na girlfriend wangu ambaye tulipendana saana!!
Mpenzi wangu huyu nilikutana naye kipindi nikiwa nahitimu chuo mwaka 2011, sio siri nilimpenda na nilimuona kila kitu kwangu kwa ukweli hata yeye anajua nilimpenda naye pia!
baadhi ya ndugu zangu walimfahamu na pia ndugu zake walinifahamu!!!
kila mmoja wetu alipopata shida tulisaidiana!!! tulikuwa tukitembeleana mara kwa mara kwani yeye alikuwa iringa na mimi dar!!! mwanzoni mwa mwaka Jana nilisafiri kuja mikoa ya kanda ya ziwa!! hivyo tukawa mbali mbali zaidi kuliko ilivyokuwa awali! Tulipanga Dec mwaka Jana tungeenda kutambulishana lakini nikashindwa kwenda kutokana na majukumu niliyonayo huku nilipo! ulizuka ugomvi mkubwa! mpenzi wangu yule alinikatia mawasiliano!
hapo nilijitahidi saana kutafuta suluhu lakini nilishindwa. mwisho ikawa ni january mwishoni mwaka huu akaniambia nitafite mwanamke mwingine! alijaribu kunihesabia yale tuliyotofautiana toka tunaanza mahusiano! nilihuzunika saana toka hapo hapokei simu wala kujibu msg zangu. najihisi kuchanganyikiwa sielewi nifanye nini, nimekata tamaa ya maisha! naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kisaikolojia ani-pm

Kwani una umri gani? Na huyo mwenzako yupo darasa la ngapi?

Maana sitaki kuamini Mwanaume uliekamilika waweza kata tamaa yamaisha eti kwasababu umeachwa! Sasa maisha yakiwa magum itakuwaje? Sindio mwanzo wakuchanganyikiwa au kujitundika!

Au labda upo adolescent period? Maana tunaweza tukawa tunajadili swala kumbe ndo unauacha utoto' na hauskii wala haumbiwi juu ya huyo mwanamke!
 
...hapa duniani Kuna vitu viwili visivyotabilika hata kwa kupiga ramli....

(1) Wanawake

(2)Weather

Si mnawaona TMA wanavyochemka kila siku...
 
Kwani una umri gani? Na huyo mwenzako yupo darasa la ngapi?

Maana sitaki kuamini Mwanaume uliekamilika waweza kata tamaa yamaisha eti kwasababu umeachwa! Sasa maisha yakiwa magum itakuwaje? Sindio mwanzo wakuchanganyikiwa au kujitundika!

Au labda upo adolescent period? Maana tunaweza tukawa tunajadili swala kumbe ndo unauacha utoto' na hauskii wala haumbiwi juu ya huyo mwanamke!

daah sijui unanikejeli au vp?
sipendi hii hali mimi! lakini ni nature! mimi sio wa kwanza watu kibao yamewakuta!!
nipo hapa kuomba msaada wenu! ni kweli nipo katika hali ya kuchanganyikiwa nilitamani hata niende kwa kalumanzila mpnz wangu huyu arudi
 
Dada yangu wanawake katika mia unaweza kupata wawil wenye true love
Wanasema kabisa bora nife mapema kwa kua na maisha mazuri kuliko kufa kikongwe na maisha magumu
Wanawake ndo mnatufanya tuibe na kufingwa jela ili kuwalidhisha
Mf kajala masanja

basi mie niko kwenye hao wawili

what matters to me is IF YOU TRULY LOVE ME
 
Najua mapenzi yanaumiza na pia yanafurahisha lakini kitu kama hicho kikikutokea inakupasa uwe na nguvu wakati mwingine ya kulet go maana unweza kuumia sana mwisho aski humpati kabisa au ukampotezea mwisho asiku akijileta mwenyewe. so take sometime alone atakuja au asije mwisho asiku
 
Yamepungua kidogo naendelea kufata ushauri wa wadau[/QUOTE

Yap utayashinda yote.jina uliyojichagulia linamana sana.yaan unaishi dunian kama mbingun.train to think like heaven.its is matter of choice.think of us who loves u even though we don't know u.I mic u
 
sikuwahi kujua mapenzi kama yanaumiza hivyo!!!
asanteni kwa pm zenu pia na post zenu
 
pole mkuu
inaonekana kinachokusumbua ni upweke.
ili kupunguza upweke huo ulionao inabidi umtafute mwingine wa kuziba hiyo nafasi hata kama wa kuzugia ili upunguze maumivu uliyokuwa nayo.
jikaza mkuu ukisema umekata tamaa ya kuishi nafsi yako haujaitendea haki kumbuka hayo ni maisha yako lazima usimame imara ktk kipindi hiki kigumu
 
Back
Top Bottom