othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,696
- 9,115
Asitegemee fadhila kwamba mwamba akitoboa basi anaweza kumpiga tafu baadae hilo sahau.. washkaji wengi ni masnich wkt wakiwa na shida vichwa vinakuwa chini akitoboa mabega yanakuwa juu na kusahau waliowasaidia....Mvumilie mkuu. Ila inabidi mpange utaratibu wa kuishi hapo ghetto. Mchangie matumizi kama kodi, chakula n.k
Huwezi kujua leo na kesho huyo mwamba anaweza akatoboa kabla yako na akawa msaada kwako. Mvumilie in the mean time akiji-sort.
Ila ukiona anakuwa mzigo kwako yani sio mtu wa kupambania kombe mda wote yupo tu na simu JF mara Insta au anakuletea wanawake ghetto fukuza au hama muache.
Otherwise mvumilie huwezi kujua maana majaribu kama hayo yaweza kuja na neema.
Umesema ni rafiki yako! Then nashauri ongea nae mueleze ukweli kwamba huna nafasi.Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili,nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza
Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi
Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko
Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta
Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini
Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema?Mimi kuishi na watu sidhani kama nitaweza, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana nashindwa kuwa huru kabisa natamani nimtoe hapa hata kesho asubuhi
Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu
Mtoa post nafikiri ushauli huu unakufaa huwezi jua kesho yako au yake Mungu ni mwema kwa waja wake.Mhifadhi mwenzio ndiyo urafiki wenyewe. Kama una bangaiza, mbangaize pamoja, huwezi kujua nani ataanza kutoboa kwenye maisha. Be kind, kwakufanya hivyo, unajifungulia milango ya baraka. Hawa ndugu hawa ambao siyo wazazi wetu halisi waangalie hivyo hivyo wanatambuaga vijana kama hawa once wakifanikiwa, lakini hawapo tayari kuwa sehemu ya kufanikisha.
Mpe mwenzako support, share the little, sharing is caring.
Mungu awasaidie na kuwafungilia milango yake ya baraka
sijakataa lakini angetumia ustaarabBila hakuna asiyekataa kuwa hali ni ngumu kwa kuwa sote tunapitia magumu maishani mwetu......lakini nyakati ngumu kwenye maisha yetu zisitufanye tuondokane na ubinadamu wetu na utu wetu kwani hata wewe unaweza kujikuta upo kwenye hali unayoiona kwa mwenzako........
Mimi na wewe hatufahamu kero alizokuwa anakumbana nazo huko alikotoka mpaka zikamsukuma kufanya maamuzi hayo.....bila shaka ameghafirika kama ambavyo binadamu wengine hughafirika wanapopitia magumu.....
Jambo la muhimu ni kukaa naye Kwa utulivu na kuzungumza naye na sio kumtimua huo ni unyama......
Haya maisha hayaeleweki kuna leo na kesho.......
kuna watu hawaelewi hata huo ukweli wenyewwHapa tuu Ushaongea uongo..
Kama ni kua mkweli, mwambie "mimi sitaki kuishi na wewe"
Ukweli hauna pande mbili, ni kunyoosha rula.
ukweli wangu ningemuuliza ana mpango wa kukaa muda gan halaf kuna ule urafiki unajua huyu mwana huwez mtupa kuna wale wa ku pass by aje anikere sasa mimi nasemea huyu wapili wa kupita,aje anikere bure? kwa nn tuje kukerana kama anakaa wiki wiki mbili its okay shida iwe ni gea ya kuingilia azidishe miez ubaya aanze kua sio wa kujiongeza ukirudi unakuta na boxer zako zimevaliwaMm wala sio mnafiki,toka nimeanza kuishi gheto nimeishi na washkaji kibao mpaka nimekuja kuoa na wengine mpaka leo mazaga yako kama zipo kwangu,sijawahi kuishi pekee yangu gheto toka nimeanza kujitegemea
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili,nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza
Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi
Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko
Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta
Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini?
Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema? Mimi kuishi na watu sidhani kama nitaweza, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana nashindwa kuwa huru kabisa natamani nimtoe hapa hata kesho asubuhi
Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu
unahisi huyu mtoa mada anazo hizo hela?? kumbe watu wa jf ni matajiri hiviMtafutie chumba cha Giza ni elfu 30, lipia miezi mitatu. Nunulia Godoro na shuka kule tandale. Nunua unga na dagaa, sufuria na sahani. Na jiko la Mkaa la elfu tatu.
Jumla 300k mpe elfu 50.
Kisha mwambie kila la kheri