Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,597
- 52,364
unahisi huyu mtoa mada anazo hizo hela?? kumbe watu wa jf ni matajiri hivi
Sasa ataishi vipi naye kama hana hizo Pesa.
Hapo watagombana tuu.
Urafiki wa ukubwani mara nyingi niwa mashaka. Ingawaje sio wote.